Uchaguzi 2020 Polepole acha kuruka viunzi, tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani

Uchaguzi 2020 Polepole acha kuruka viunzi, tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani

Subirini wiki mbili za mwisho wa October, PANDORA BOX litafunguliwa lenye nyeti za mgombea wengi watu lazima wajue INTEGRITY ya boss wenu siyo kuongopea anataka kuwa rais wakati makando kando kibao. Hiyo inaitwa niguse NINUKE
Sawa lakini ukweli utabaki kuwa hali ya kiuchumi kwa wananchi ni mbaya sana. Mtakuja kusikia machina wanajilipua kama ilivyotokea Tunisia.
 
Ugumu wa maisha ni relative.

Wewe kama yamekupiga, it's you haimaanishi wote tupo kwenye hali hiyo uraiani.

USA kwenyewe kuna wazungu homeless/bums.

Biashara mpya zinasajiliwa daily BRELA,

Nyumba za kisasa zinajengwa daily mtaani hadi kuna uhaba wa cement nchini,

Usajili wa Magari sasa tupo kwenye T .....DU means watu wanaagiza kama kawaida.

Kama upo tu unategeneza "Butt prints" kwa shemeji,Yesu atarudi akukute umepigika hivyohivyo achilia mbali Lisu kuwa Rais!
Nakataa maisha ni magumu Sana mitaani mkuu,Mambo hayko sawa kuanzia mkulima ,mvuvi, mama lishe n.k na ndo kwa Sasa hata ukisafili utakutana na nyumba nyingi zilizo andikwa zinauzwa na benk maana yake bishara zao zimekufa na wameshindwa marejesho.
Mnaosema maisha sio magum ukweli mnaujua ili kwa sababu wengi mko kwenye mkondo ambao upo karibu na keki ya taifa ndo maana mnatetea ,mnasifia mpaka mnajitoa hufaham.
Ni kweli binadam kiuchumi hatuwezi lingana lakini lazima unafuu wa maisha uwepo kwa watu wote ,wa Kila Milo mitatu,kumudu matumizi ya familia n.k ,Sasa mmekaza vyuma miaka mitano, huku mkikebei makundi mengine Kama watumishi kwamba asietaka kazi ahache,na kusema ukweli akuna kipindi ambacho wanaccm mmejitutumua Kila mahali kuanzia uraiani mpaka kwenye mitandao Kama miaka hii mitano,Sasa kikowapi mnatafuta pa kushika hampaoni Yani,MWAFAA MWAKA HUU
 
Nakataa maisha ni magumu Sana mitaani mkuu,Mambo hayko sawa kuanzia mkulima ,mvuvi, mama lishe n.k na ndo kwa Sasa hata ukisafili utakutana na nyumba nyingi zilizo andikwa zinauzwa na benk maana yake bishara zao zimekufa na wameshindwa marejesho.
Mnaosema maisha sio magum ukweli mnaujua ili kwa sababu wengi mko kwenye mkondo ambao upo karibu na keki ya taifa ndo maana mnatetea ,mnasifia mpaka mnajitoa hufaham.
Ni kweli binadam kiuchumi hatuwezi lingana lakini lazima unafuu wa maisha uwepo kwa watu wote ,wa Kila Milo mitatu,kumudu matumizi ya familia n.k ,Sasa mmekaza vyuma miaka mitano, huku mkikebei makundi mengine Kama watumishi kwamba asietaka kazi ahache,na kusema ukweli akuna kipindi ambacho wanaccm mmejitutumua Kila mahali kuanzia uraiani mpaka kwenye mitandao Kama miaka hii mitano,Sasa kikowapi mnatafuta pa kushika hampaoni Yani,MWAFAA MWAKA HUU
Wengine hata kwenye mkondo wa keki ya taifa hawamo bali wanajitoa ufahamu tu.
 
Ulitegemea siasa za upinzani zingepamba moto kama zilivyo leo... Kila lenye mwanzo kuwa na mwisho ni lazima...
This time dhuluma zao ni halali yetu... Kwa Mungu tutapeleka dua na Roho zetu...!!

#Sasa_Basi
Halali yenu na nani? We huna ubavu huo tuliza mapumbu mzee! Kamanda Muroto akitia neno tu unajikunyata na mkeo 😂😂😂
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.


Unazungumzia Maisha yapi yamekua Magumu?
Yale ya Mafisadi walioinyonya Tanzania kwa Miaka sasa?
Wauzaji wa Madawa na watakatishaji Fedha?
Wezi na Viongozi matapeli wa Upinzani?
Au
Wamachinga na Mama lishe wenye vitambulisho wanaofanya biashara zao kila sehemu bila kusumbuliwa?
 
Halali yenu na nani? We huna ubavu huo tuliza mapumbu mzee! Kamanda Muroto akitia neno tu unajikunyata na mkeo 😂😂😂

Wewe ukiwa na akili za kukata tamaa ujue kuwa wenzako tulishavuka huko kitambo...
Njoo field huku ujionee...
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.

Polepole lafa sana yan
 
Baada ya makamanda kuonyeshwa "dokumenti" za bunge zinazohusu kupitishwa kwa bajeti za ujenzi wa Chato international airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa la kufua umeme la JK Nyerere nk sasa mmeamia kwenye "hela mfukoni" hahaha
Mngeonesh mjadala wa bunge ulijadiliwa kwa video, makaratasi yanapikwa tu ofisini na kupritiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ziko wapi? Mafundi ujenzi wanatafuta kazi kwa tochi. Mama ntilie mitaji inakatika vyakula vinachacha,wanaofungua magenge nyanya na vitunguu vinaoza. Hali ya kiuchumi ni mbaya sana.
Ili ufanikiwe kiuchumi Serikali ikusaidije?
 
Wewe ukiwa na akili za kukata tamaa ujue kuwa wenzako tulishavuka huko kitambo...
Njoo field huku ujionee...
Nijionee wapi bana tarehe 28 si mwezi ujao tu. Nahitaji untumiw clip tu ukiwa umetanguliza makende barabarani...Hio Rivella ikiisha kichwani urudi kupitia ulichopost humi
 
Nimemsikiliza Polepole, na hiki ndicho tulichokuwa tunasisitiza muda wote. Amezijibu hoja za Lissu, na kuna watanzania wamezielewa na kuna wengine hawajazikubali, lakini hivyo ndivyo maisha ya siasa yanapaswa kwenda. Mi binafsi, na kuna mamilioni kama mimi tunaowaelewa.

Kuanzia sasa kwenda mbele acheni kabisa kuentertain mediocrity, iwe bungeni au kwenye vyana vyenu. Acheni hoja ziamue. Mlipotaka kumyamazisha Lissu kwa bunduki ulikuwa ni utoto wa aina yake. Sasa mnamuua Lissu, kwani watu aina ya Lissu wameisha Tanzania? Mtawaua wote?
 
Back
Top Bottom