Polepole amevimba haya Chongolo nawe vimba tuone nani zaidi

Polepole amevimba haya Chongolo nawe vimba tuone nani zaidi

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Polepole amesema hakuna wa kumzuia kusema na CCM hatoki kwa hiari. Polepole amewakemea viongozi wa CCM kwa kutosema makosa ya kiutendaji ya serikali na pia amewasema viongozi wa serikali wanaobutua katika utendaji wao.

Oooh Chama ni kikubwa kuliko mtu, haya sasa Polepole kawarushia mawe, tuone nani zaidi! Na amesema atajibu mapigo kwa hatua yo yote itakayochukuliwa na CCM dhidi yake!
 
Chonganishi wewe, nyie kwenye utawala wa mbingu hamtaruhusiwa hata kuingia.
 
Polepole amesema hakuna wa kumzuia kusema na CCM hatoki kwa hiari. Polepole amewakemea viongozi wa CCM kwa kutosema makosa ya kiutendaji ya serikali na pia amewasema viongozi wa serikali wanaobutua katika utendaji wao.

Oooh Chama ni kikubwa kuliko mtu, haya sasa Polepole kawarushia mawe, tuone nani zaidi! Na amesema atajibu mapigo kwa hatua yo yote itakayochukuliwa na CCM dhidi yake!
Polepole ni dhaifu mno kuweza kuupoteza muda wa Chongolo
 
Polepole amesema hakuna wa kumzuia kusema na CCM hatoki kwa hiari. Polepole amewakemea viongozi wa CCM kwa kutosema makosa ya kiutendaji ya serikali na pia amewasema viongozi wa serikali wanaobutua katika utendaji wao.

Oooh Chama ni kikubwa kuliko mtu, haya sasa Polepole kawarushia mawe, tuone nani zaidi! Na amesema atajibu mapigo kwa hatua yo yote itakayochukuliwa na CCM dhidi yake!
Usikute ametumwa amsemee Mangula Philip.
 
Mambo yanaenda ngazi kwa ngazi
images - 2021-12-11T194726.845.jpeg
 
Hiki cheo cha katibu mwenezi wa CCM kilianza kuwa na nuksi tangu alivyopewa Nape akafuatiwa na Polepole na sasa Shaka. Hawa watu wamewapiku kwa mbali makatibu wakuu wao na kuonekana kuwa wao ndiyo wenye Chama!
 
Samia, Chongolo, Mangula, Shaka hawana muda mchafu wa kumjibu mtu ambaye hawezi kumjibu huyo Kunguni, akina kibajaji ndiyo size yake
 
Back
Top Bottom