Polepole ni dhaifu mno kuweza kuupoteza muda wa ChongoloPolepole amesema hakuna wa kumzuia kusema na CCM hatoki kwa hiari. Polepole amewakemea viongozi wa CCM kwa kutosema makosa ya kiutendaji ya serikali na pia amewasema viongozi wa serikali wanaobutua katika utendaji wao.
Oooh Chama ni kikubwa kuliko mtu, haya sasa Polepole kawarushia mawe, tuone nani zaidi! Na amesema atajibu mapigo kwa hatua yo yote itakayochukuliwa na CCM dhidi yake!
Mimi au Polepole?Chonganishi wewe, nyie kwenye utawala wa mbingu hamtaruhusiwa hata kuingia.
Dawa yake baada awamu hii njaa itamtoa shimoniPole pole saizi yake Kenan Kihongosi
Usikute ametumwa amsemee Mangula Philip.Polepole amesema hakuna wa kumzuia kusema na CCM hatoki kwa hiari. Polepole amewakemea viongozi wa CCM kwa kutosema makosa ya kiutendaji ya serikali na pia amewasema viongozi wa serikali wanaobutua katika utendaji wao.
Oooh Chama ni kikubwa kuliko mtu, haya sasa Polepole kawarushia mawe, tuone nani zaidi! Na amesema atajibu mapigo kwa hatua yo yote itakayochukuliwa na CCM dhidi yake!
Kuna watu wanaugulia ndani kwa ndani kwa kuogopa kupotezwa au kuambiwa wasaliti.Usikute ametumwa amsemee Mangula Philip.
Polepole nenda polepolePolepole ni dhaifu mno kuweza kuupoteza muda wa Chongolo