Polepole ana pwaya, kila siku press na hatokei kama huna la maana kaa kimya. Katiba ya Warioba ulishindwa ccm utaweza?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Huyu mzee kijana kila siku anatafuta kiki kwa pikipiki na haitimii au akiita press vitu avavyoongea ni vya ajabu ajabu sana yaani anavyotumia mda kuitangaza haiendani na kile kinachotarajiwa.

Sasa kama katiba na alisimama kuitetea ilimshinda na akaangukia pua je ccm ataiweza?
 
thats too bad. kama alipwaya ukuu wa wilaya, anapwaya hata hapa, sasa ataweza kazi gani nyingine ya kuwasaliti watz? arudi tu kwenye NGOs
 
Ameshaongea na waandishi wa habari, habari kuu ilikuwa ni ccm kushinda rufaa ya ubunge jimbo la Longido hivyo uchaguzi utarudiwa tena kwa mjibu wa taratibu za Tume ya Uchaguzi nchini.
 

Huyo ndiye kiboko chenu manyumbu, si rahisi mkampenda
 
Labda alisahau kwamba kesho ni sikukuu, so breaking news ataiachia baada ya Sikukuu!
 
Ndo effect ya kumchagua mtu kwa kua alikusifia.
Napia kaka kijana a learn kua Sio kila unapo teuliwa na uliye msifia unakubali maana akitokeza mwenye degree2 zakusifia nakutoa matamko yenye kumliwaza ngosha did q msaníi Utatumbuliwa tu Kama nape alivyo fanywa na babashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh mzee wa kubadili gear angani
 
Mbona sisi CCm anatufaa sana. Tena kwa sasa tunamhitaji zaidi yeye kuliko wakati wowote ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…