Natumaini kesho Polepole atasusia Kuapishwa. Sababu alisema ubunge ukiisha hagombei tena. Pia alisema ana misimamo yake haiyumbishwi wala hababaishwi na mtu yoyote.
Polepole ana bahati. Kakutana na rais Samia ana huruma. Kampeleka karibu hapo Malawi ikitaka kusalimia atapanda Basi aje Nchini.
Namshauri Rais, miezi sita ikiisha amteue mtu mwingine kuwa Balozi Malawi. Tufanye kama tulivyofanya kwa John Nchimbi. Ubalozi uyeyuke juu kwa juu kabla ya Christmas ya Mwaka huu.
Pia namshauri akishaapishwa kama atakubali, basi aende kwenye kituo chake cha kazi harakahara bil kupita kuaga aga. Kumbukumbu za kifo cha mwenda zake akawaongoze wafanyakazi wa Ubalozi huko Malawi.
Pia Polepole namuombea msamaha kwa TCRA na Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Wamruhusu na wamsamehe aendelee na Shule ya Uongozi huko malawi.
Alhaji Abdallah Majula Bulembo alishamshauli, mtu wenye hekima, upipo ukipuliza unainama. Na ule mti usioinama hung'oka na mizizi yake.
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge.
Angepelekwa mbali kabisa halafu anyanganywe passport, mshahara apokee tarehe 70, anyimwe Hela ya umeme na maji ya nyumbani kwake, posho zote zichelewe au zisifike kabisa, asipewe wasaidizi ikiwamo dereva, awe anazurura mwenyewe, na mwisho atafutiwe vibaka wamuibie kila kitu
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge...
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge...
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge.
Angepelekwa mbali kabisa halafu anyanganywe passport, mshahara apokee tarehe 70, anyimwe Hela ya umeme na maji ya nyumbani kwake, posho zote zichelewe au zisifike kabisa, asipewe wasaidizi ikiwamo dereva, awe anazurura mwenyewe, na mwisho atafutiwe vibaka wamuibie kila kitu