Polepole angepewa ubalozi wa Mongolia, Nicaragua au El Salvado ili ajifunze kuheshimu Wakubwa

Polepole angepewa ubalozi wa Mongolia, Nicaragua au El Salvado ili ajifunze kuheshimu Wakubwa

Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge.

Angepelekwa mbali kabisa halafu anyanganywe passport, mshahara apokee tarehe 70, anyimwe Hela ya umeme na maji ya nyumbani kwake, posho zote zichelewe au zisifike kabisa, asipewe wasaidizi ikiwamo dereva, awe anazurura mwenyewe, na mwisho atafutiwe vibaka wamuibie kila kitu
Duh, aheri shetani ana nafuu!😬
 
Salaam Wakuu,

Natumaini kesho Polepole atasusia Kuapishwa. Sababu alisema ubunge ukiisha hagombei tena. Pia alisema ana misimamo yake haiyumbishwi wala hababaishwi na mtu yoyote.

Polepole ana bahati. Kakutana na rais Samia ana huruma. Kampeleka karibu hapo Malawi ikitaka kusalimia atapanda Basi aje Nchini.

Namshauri Rais, miezi sita ikiisha amteue mtu mwingine kuwa Balozi Malawi. Tufanye kama tulivyofanya kwa John Nchimbi. Ubalozi uyeyuke juu kwa juu kabla ya Christmas ya Mwaka huu.

Pia namshauri akishaapishwa kama atakubali, basi aende kwenye kituo chake cha kazi harakahara bil kupita kuaga aga. Kumbukumbu za kifo cha mwenda zake akawaongoze wafanyakazi wa Ubalozi huko Malawi.

Pia Polepole namuombea msamaha kwa TCRA na Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Wamruhusu na wamsamehe aendelee na Shule ya Uongozi huko malawi.

Alhaji Abdallah Majula Bulembo alishamshauli, mtu wenye hekima, upipo ukipuliza unainama. Na ule mti usioinama hung'oka na mizizi yake.
View attachment 2150551
Mongolia duuuh aisee msamehen bure[emoji28]
 
Salaam Wakuu,

Natumaini kesho Polepole atasusia Kuapishwa. Sababu alisema ubunge ukiisha hagombei tena. Pia alisema ana misimamo yake haiyumbishwi wala hababaishwi na mtu yoyote.

Polepole ana bahati. Kakutana na rais Samia ana huruma. Kampeleka karibu hapo Malawi ikitaka kusalimia atapanda Basi aje Nchini.

Namshauri Rais, miezi sita ikiisha amteue mtu mwingine kuwa Balozi Malawi. Tufanye kama tulivyofanya kwa John Nchimbi. Ubalozi uyeyuke juu kwa juu kabla ya Christmas ya Mwaka huu.

Pia namshauri akishaapishwa kama atakubali, basi aende kwenye kituo chake cha kazi harakahara bil kupita kuaga aga. Kumbukumbu za kifo cha mwenda zake akawaongoze wafanyakazi wa Ubalozi huko Malawi.

Pia Polepole namuombea msamaha kwa TCRA na Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Wamruhusu na wamsamehe aendelee na Shule ya Uongozi huko malawi.

Alhaji Abdallah Majula Bulembo alishamshauli, mtu wenye hekima, upipo ukipuliza unainama. Na ule mti usioinama hung'oka na mizizi yake.
View attachment 2150551
Angepelekwa Ukraine
 
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge.

Angepelekwa mbali kabisa halafu anyanganywe passport, mshahara apokee tarehe 70, anyimwe Hela ya umeme na maji ya nyumbani kwake, posho zote zichelewe au zisifike kabisa, asipewe wasaidizi ikiwamo dereva, awe anazurura mwenyewe, na mwisho atafutiwe vibaka wamuibie kila kitu
Nimecheka Sana,daaah MWSHO ATA ILE HELA ANAYOPATA KWA KUCHELEWESHEWA ATAFUTIWE VIBAKA WAIKWIBE[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]daaah nimeongea siku za kuishi
 
Hata akinyang'anywa baada tu ya kuapishwa, CV yake haitakuwa sawa na ambaye hajawahi kuteuliwa hata ubalozi wa nyumba 10.

Kuna kitu watanzania wengi huwa tunachukulia kawaida, hasa pale mtu anapotenguliwa nafasi au cheo fulani ambacho pengine hata mmojawapo wa ukoo/familia hajawahi hata kukipata.
 
Polepole ni mzalendo wa chama asiyeyumba! Wengineyo walipoyumba yeye alikitetea chama mpaka mwisho!
 
Dogo wahuni wakamfundisha adabu...akakuta getto jeupee dadadeq....bahati yake hakuwemo maana c mnajua wahuni walivyo..!! wana deal na vitu adimu tu.
 
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge.

Angepelekwa mbali kabisa halafu anyanganywe passport, mshahara apokee tarehe 70, anyimwe Hela ya umeme na maji ya nyumbani kwake, posho zote zichelewe au zisifike kabisa, asipewe wasaidizi ikiwamo dereva, awe anazurura mwenyewe, na mwisho atafutiwe vibaka wamuibie kila kitu
Hiki ni kiwango cha juu cha roho mbaya kwa binadamu mwenzako
 
Polepole aliandaa kundi la wabunge wakiwemo akina Luhaga Mpina na Joseph Musukuma na genge lao wagomee bajeti ya serikali, mmoja baada ya mwingine wanaliwa vichwa, watafutwa wote hata kama ikibidi kuitisha uchaguzi mdogo wa ubunge.

Angepelekwa mbali kabisa halafu anyanganywe passport, mshahara apokee tarehe 70, anyimwe Hela ya umeme na maji ya nyumbani kwake, posho zote zichelewe au zisifike kabisa, asipewe wasaidizi ikiwamo dereva, awe anazurura mwenyewe, na mwisho atafutiwe vibaka wamuibie kila kitu

Mhhhh Una roho mbaya wewe…utakua unauza sumu
 
Back
Top Bottom