Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Na. CM 1774858.
1. Jana trh 28|05|2021|1:26Pm nikiwa Ofisi za CCM Lumumba nikimsubiri Katibu wa Itikadi na Uenezi Comred Shaka Hamdu Shaka walifika Wasanii kadhaa akiwemo Diamond Plt, wote kwa pamoja wakiwa na shida ya kuonana na Ndg Shaka Hamdu Shaka,Muhudumu akawaomba wamsubiri kama ilivyokuwa kwangu|kwetu kwani Ndg Shaka Hamdu Shaka alikuwa kwenye kazi za nje wakati huo.
2. Chaajabu zaidi, Leo napita hapa Jf nakutana na uzi huu,Frankly,Mimi kama mwanachama mtiifu wa CCM nimeshindwa kuvumilia wacha nitie neno kidogo kwani Diamond ndio alimfuata Ndg Shaka Hamdu Shaka Ofisini kwake huku Mimi na Mungu tukiwa ni mashahidi wa Shaka, then dhambi iko wapi Ndg Shaka kupiga picha na Diamond Plt aliyefika Ofisini kwake kwa shida zake? Why kumdhalilisha mwenezi wetu kila uchapo?
www.jamiiforums.com
"NIWATAFAKARISHE KIDOGO AKINA BASHIRU|POLEPOLE & TEAMS ZAO "
__________________________________
1. Mhe Polepole & Mhe Bashiru ninyi na team zenu lazima mkubali matokeo na mtambue uongozi ni mchezo wa kupokezana Vijiti tu na kamwe msidhani wala kujisumbua nafsini mwenu kuwa bila ninyi CCM inaweza kukwama popote,Ondoeni hofu na kwaunyenyekevu mkubwa niwahakikishieni kuwa hii CCM ni mpango wa Mungu na Mungu hajawahi kukwama popote zaidi Sana kumbukeni mema ya CCM kwenu na kesho yenu kwa CCM.
2. Kitendo cha kuongoza team zenu kukashifu na kudhalilisha viongozi wetu tena waliopatikana kikatiba sio tu havivumiliki na kila mpenda Chama bali vinakiumiza zaidi chama chetu na kupunguza imani kwa Watanzania wanaokiamini na kukitegemea chama hiki kwa kizazi na vizazi vyao,
3. Sikweli kwamba watangulizi wenu akina Nape na Mzee Kinana hawakuwa na watu|team za kuwakashifu na kuwadhalilisha ninyi mitandaoni kama mnavyofanya/zinavyofanya team zenu Leo kwa wenzenu mara baada ya kuwakabidhi vijiti,Hivi mmewahi kujiuliza nikwanini ninyi hamkutukanwa wala kudhalilishwa na wana CCM kama ilivyo kwa hawa successors wenu leo?
4. Mhe Nape na Mhe Kinana waliwapa kila aina ya sapoti ikiwa ni Pamoja na kuelekeza watu wao kuwaunga ninyi mkono kwa maslahi mapana ya chama chetu na Tanzania yetu kwa ujumla wake,Nasisitiza hili sisi kama wanachama hatutalifumbia macho kamwe,Hebu elekezeni nguvu zenu katika kuwakabili Wapinzani sio CCM kwa CCM tunatia aibu Sana CCM.
5. Kinachoumiza zaidi, Leo mpaka Wapinzani wote wanamuunga mkono Rais wetu Mhe Mama Samia Suluhu kwa namna anavyowaunganisha Watanzania nje|ndani chaajabu zaidi Sisi WanaCCM ndio tunaonesha kinyongo kwake na kwawale aliowateua ,Hii si sawa na lazima tujisahihishe kwani umoja wetu ndio umekuwa Ushindi wetu daima Polepole anajua & Bashiru anajua.
'Kazi iendelee kwa Speed'
1. Jana trh 28|05|2021|1:26Pm nikiwa Ofisi za CCM Lumumba nikimsubiri Katibu wa Itikadi na Uenezi Comred Shaka Hamdu Shaka walifika Wasanii kadhaa akiwemo Diamond Plt, wote kwa pamoja wakiwa na shida ya kuonana na Ndg Shaka Hamdu Shaka,Muhudumu akawaomba wamsubiri kama ilivyokuwa kwangu|kwetu kwani Ndg Shaka Hamdu Shaka alikuwa kwenye kazi za nje wakati huo.
2. Chaajabu zaidi, Leo napita hapa Jf nakutana na uzi huu,Frankly,Mimi kama mwanachama mtiifu wa CCM nimeshindwa kuvumilia wacha nitie neno kidogo kwani Diamond ndio alimfuata Ndg Shaka Hamdu Shaka Ofisini kwake huku Mimi na Mungu tukiwa ni mashahidi wa Shaka, then dhambi iko wapi Ndg Shaka kupiga picha na Diamond Plt aliyefika Ofisini kwake kwa shida zake? Why kumdhalilisha mwenezi wetu kila uchapo?
Msanii Diamond Plutnumz akutana na Katibu wa Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka
"Wakati Mzuri leo katika ofisi Ndogo za Chama na katibu wa NEC, Itika na Uenezi Mpya wa CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka. Nimetumia wakati huo kumngata sikio juu ya matarajio yetu kwa chama na serikali katika sekta ya habari, sanaa na Burudani, ameniahakikishia changamoto zote zitafanyiwa kazi na...
"NIWATAFAKARISHE KIDOGO AKINA BASHIRU|POLEPOLE & TEAMS ZAO "
__________________________________
1. Mhe Polepole & Mhe Bashiru ninyi na team zenu lazima mkubali matokeo na mtambue uongozi ni mchezo wa kupokezana Vijiti tu na kamwe msidhani wala kujisumbua nafsini mwenu kuwa bila ninyi CCM inaweza kukwama popote,Ondoeni hofu na kwaunyenyekevu mkubwa niwahakikishieni kuwa hii CCM ni mpango wa Mungu na Mungu hajawahi kukwama popote zaidi Sana kumbukeni mema ya CCM kwenu na kesho yenu kwa CCM.
2. Kitendo cha kuongoza team zenu kukashifu na kudhalilisha viongozi wetu tena waliopatikana kikatiba sio tu havivumiliki na kila mpenda Chama bali vinakiumiza zaidi chama chetu na kupunguza imani kwa Watanzania wanaokiamini na kukitegemea chama hiki kwa kizazi na vizazi vyao,
3. Sikweli kwamba watangulizi wenu akina Nape na Mzee Kinana hawakuwa na watu|team za kuwakashifu na kuwadhalilisha ninyi mitandaoni kama mnavyofanya/zinavyofanya team zenu Leo kwa wenzenu mara baada ya kuwakabidhi vijiti,Hivi mmewahi kujiuliza nikwanini ninyi hamkutukanwa wala kudhalilishwa na wana CCM kama ilivyo kwa hawa successors wenu leo?
4. Mhe Nape na Mhe Kinana waliwapa kila aina ya sapoti ikiwa ni Pamoja na kuelekeza watu wao kuwaunga ninyi mkono kwa maslahi mapana ya chama chetu na Tanzania yetu kwa ujumla wake,Nasisitiza hili sisi kama wanachama hatutalifumbia macho kamwe,Hebu elekezeni nguvu zenu katika kuwakabili Wapinzani sio CCM kwa CCM tunatia aibu Sana CCM.
5. Kinachoumiza zaidi, Leo mpaka Wapinzani wote wanamuunga mkono Rais wetu Mhe Mama Samia Suluhu kwa namna anavyowaunganisha Watanzania nje|ndani chaajabu zaidi Sisi WanaCCM ndio tunaonesha kinyongo kwake na kwawale aliowateua ,Hii si sawa na lazima tujisahihishe kwani umoja wetu ndio umekuwa Ushindi wetu daima Polepole anajua & Bashiru anajua.
'Kazi iendelee kwa Speed'