Hakuna siri juu ya uchakachuaji wa CCM kwenye uchaguzi huu magumashiPolepole kura feki mlizichapisha Zanzibar Government press , Maruhubi, Mliwapa likizo fupi wafanyakazi wote mkawaingiza maofisa wa Usalama TISS mkaanza kazi. Tunajua yote
Ukuta wa nje mliuongeza urefu
Mtu anatengeneza Noti feki ya elfu kumi..Mhuri wa Moto?! Hata wa ikulu unapatikana...kuhusu kuingia barabarani hizo ni story tu hakuna wa kuingia road,tupumzishane tafadhali acheni mshindi afanye kazi.
CCM alijipenyeza akawahadaa akazichoma faster kupoteza ushahidi harakaSasa ushahidi si Chadema walichoma?? Au tumesahau,!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama taasisi inawafuuasi wanaohadaika kirahisi hivyo... Inakuambia nn juu ya uwezo wao wa kusimamia maslahi ya watu milioni 60!?CCM alijipenyeza akawahadaa akazichoma faster kupoteza ushahidi haraka
Polepole hana hoja kaongea upumbavu mtupu hana anachojua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu tokea chamwinoZaidi ya matusi, hakuna hata mmoja aliyejibu hoja za chakubanga.
Ushahidi upo mwingi wa kupeleka ICC hata video za Polisiccm wakipiga watu Zanzibar zipo nyingi mnoUshahidi huwa unachomwa moto?
Si bora hata mngepeleka ICC?
. Mkuu vpCHADEMA walitoa wapi mihuli yamoto inayopatikana NEC? Na kama ni kweli kwa nini waliokamatwa polisi haikuwachukulia hatua hata kama ni CHADEMA wenyewe, na je kwa nini mwenyekiti wa tume alisema hakuna kura fake zilizokamtwa?
Tukutane kesho tarehe 2 barabarani, hii ni nchi yetu sote, nawala si ya CCM peke yao.
.Kweli KBS anafanana na tumbuli haya sasa Wewe je unafanana na Nani? Weka picha tukuone bhudhaaNdio sababu kanafanana na tumbili
. Nani alizichoma Moto hizo kura mkuuChama chenye wanasheria wabobezi wanakamata kura feki wanachoma Motoπππ hawataki ushahidi, inaitaji akili ndogo sana kuamini maneno ya polepole
Ni mazezeta pekee yatakaa na kumwamini polepole lakini watanzania wenye Akili timamu walishampuuza polepole kitambo
Shut upWewe usikae katikati ya barabara wakati ninapita na mkoko wangu. Ugali wangu wa kila siku hautoki kwenye maandamano yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Maandamano hayo yanaitwa terrorism kama matendo ya akina Bin Laden. Watu wengine kukosa madaraka isiwe shida kwa watu wengine wengine ambao hatuna haja na na hatufaidiki na madaraka hayo.
Halafu angalieni kuwa ile protection ya ubunge haipo tena.
Basi kaa katikati ya barabara uje ukumbane na mkoko wangu; unatoa moshi mwingi sana kama gari moshi ila ukikupitia uatabaki chapati barabarni !Shut up
Shut upBasi kaa katikati ya barabara uje ukumbane na mkoko wangu; unatoa moshi mwingi sana kama gari moshi ila ukikupitia uatabaki chapati barabarni !!
Basi kaa katikati ya barabara uje ukumbane na mkoko wangu; unatoa moshi mwingi sana kama gari moshi ila ukikupitia uatabaki chapati barabarni !!Shut up
ππΏππΏπ¬Basi kaa katikati ya barabara uje ukumbane na mkoko wangu; unatoa moshi mwingi sana kama gari moshi ila ukikupitia uatabaki chapati barabarni !!
Amani iwe nanyi
Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!
Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?
Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Kuna binadamu anamsikiliza kibaka anayeitwa polepole?Kama ni kweli hizo kura zilichapishwa na chadema, kwanini polisi walikuwa wanawalinda na kuwatetea waliokuwa wamezibeba? Kwanini mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alijitokeza na kuwaambia wananchi wapuuze hizo tuhuma za kuwa kuna kura fake wakati akijua kuwa chadema wamechapisha kura fake?
Unageuza maneno baada ya kuonekana waongo?Miccm ilikuwa sharp ikachoma moto faster