Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Hama demokrasia huko na hii ndio maana halisi ya ila kauli kuwa CCM ina wenye
Akili za mbegembege kama punga la ubeligiji!Nyanoko mkaulizane Lumumba kwanza mjue hamna selikali selikali ni ya wana nchi punguza upunga wewe gasho maarufu pale Lumumba
Nadhani kula zinatoa muongozo tu kuwa Nani anafaa na nani hafai. Ila mwisho siku wao ndo wanachagua mgombea.
Piga kelele kwa Makonda wakeeeeeeeKama watu wamefungana kura hatutarudia zoezi kwa sababu hatutafuti mshindi katika kura za maoni, tumetoa tu nafasi kwa wana CCM kuweka maoni yao ya awali ambayo yatasaidia vikao vya mbele kufanya uamuzi."- Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM - Polepole
Use na heshima unakua kama kina mwambe Lumumba ushoga utapungua kweli au ndio unaongezekaAkili za mbegembege kama punga la ubeligiji!
Wapwa tuinune, kura za maoni ni sehemu ya kuhakikisha wajumbe wanapata hela ya soda kidogo kutokana na rushwa za hapa na pale.Sasa kulikuwa na haja gani kuweka watu wanakesha kutafuta mshindi?Kwanini maamuzi ya wengi yakazuiwe na wachache? CCM hapa ndipo inapozalisha kina mwambe wengine
Makosa ya kiuhandishi hayo. Niliandika nikiwa na kula . So nikasahau kuandika kuraKula ndio nini?
Balozi wa ushoga mnaye hapo Ufipa!Use na heshima unakua kama kina mwambe Lumumba ushoga utapungua kweli au ndio unaongezeka
Una we za kuongoza kura za maoni kwa kuhonga wajumbe, ebho!Sasa kulikuwa na haja gani kuweka watu wanakesha kutafuta mshindi?Kwanini maamuzi ya wengi yakazuiwe na wachache? CCM hapa ndipo inapozalisha kina mwambe wengine
Shoga kweli! Maana lina obsession na wachagga!Nyanoko mkaulizane Lumumba kwanza mjue hamna selikali selikali ni ya wana nchi punguza upunga wewe gasho maarufu pale Lumumba
Zoezi tukufu kama hili kuliita "maoni ya awali" ni kutowatendea haki wahusikaKwanini zoezi la kura liliendeshwa kwa uwazi kama hatafutwi mshindi?
Yaani ulikuwa hujui au unazuga? Kwanza kura umeambiwa ni za "maoni", ukataka hizo tu zikuingizie mtu ktk uchaguzi kweli?Duuh, so kura walizopiga wajumbe ni geresha tu!
Sasa kuna haja gani? Si wangetia nia halafu wakachukua wanaowataka kuliko kusumbua watu?Yaani ulikuwa hujui au unazuga? Kwanza kura umeambiwa ni za "maoni", ukataka hizo tu zikuingizie mtu ktk uchaguzi kweli?
Unazi utakuua wewe bashite amekupa nini ??Bashite anatengenezewa njia ya mjengoni hpo, kiufupi kigamboni itaongozwa na bashite.