Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
- Thread starter
- #21
Mkuu Ccm sio nyoka, Nyerere alipoweka misingi waTz tuitane ndugu, rasilimali ziwe zetu sote, ubaguzi hakuna n.k akaanzisha chama hicho hakuwa nyoka soma katiba yao, ila kimetekwa na majoka, sasa ni JUMBA BOVU,Halafu Chama kipya kitokane na CCM ile ile!! Kweli??? Hajui "Mtoto wa Nyoka ni Nyoka??"