Uchaguzi 2020 Polepole na Bashiru mmechangia sana huu Uchaguzi kuwa mgumu kwa Dkt. Magufuli

Hivi kweli Magufuli kwa uliyo yafanya leo wewe ni wa kuchezeshwa kisingeli jukwaani? Wewe leo ni wakupigishwa magoti jukwaani na wahuni eti mnaomba!! Mungu gani huyo mnae muomba kwa njia ya nyimbo ya singeli kama sio kumkufuru Mungu?[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
 
Pole pole na Bashiru walitakiwa wawepo 1990s lakini mbinu zao kwa sasa kukiwa na hii mitandao ni upuuzi
 
Bashiru, Polepole, Mpogoro hawana wanalolijua nishasema humu mara kibao! Wamemkaanga mwenzao sasa anakaangika.

Tuwe wakweli anayekipigania chama sasa hivi ni either mbunge, viti maalumu, au walioshindwa kura za maoni na waliokatwa wanaotamani kupata teuzi hapo baadae, hakuna mwananchi mmoja mmoja anayejitoa kwa ajili ya CCM kama ilivyokuwa hapo awali, ila kwakuwa hamruhusu mawazo mbadala viongozi wenu kuanzia kwenye mashina hadi mikoa hawawezi kuwaambia ukweli.

Magufuli acha ubinafsi unatuulia chama.
 
CCM kwisha kabisa kura kwa lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…