Namshangaa sana bwana polepole.Unafiki kuwa uko na Rais halafu unasema Rais amezungukwa na wahuni. Hatukusikia Sabaya na Makonda ambao ni wahuni haswaaa ukitoa kauli. Unazarau mamlaka ya Rais au nini. unataka kumpangia Rais achague nani na nani amuache.
Unataka kumpangia Rais afanye nini na nini asifanye Tatizi unaona kwa vile ulikua mwenezi basi Samia hawezi kukufanya kitu.
Uhuni wenu wa kuua na kuteka mnataja na sisi tuufanye au sio.
Hivi unaona unayohaki ya kuongea lolote kutoka kichwani kwako. Sasa nakukumbusha CCM na serikali haijashindwa kukunyoosha ukanyooka.
Endelea kufanya ziara za media kuponda kazi zinazifanywa na Rais Samia hakika utapata unacho kitaka.
Endelea kudhani kuwa unao ukubwa ulionao. Nakupa Onyo wewe na wanao kutuma.
#KAZI IENDELEE
Unajua kwamba mtu anyeitwa John Joseph magufuli pombe alinunua magorofa mawili dodoma kwa tsh laki sita kila moja na maghorofa hayo yakimilikiwa na NIc???Acha upuuzi unamtisha Nani ikulu imekuwa ya Walanguzi
Acha ujinga jenga hoja zakuonyesha anapokosea sio kutoa toa vitisho vya kipumbavu hii dunia wote tunapitatu, idiot!.Unafiki kuwa uko na Rais halafu unasema Rais amezungukwa na wahuni. Hatukusikia Sabaya na Makonda ambao ni wahuni haswaaa ukitoa kauli. Unazarau mamlaka ya Rais au nini. unataka kumpangia Rais achague nani na nani amuache.
Unataka kumpangia Rais afanye nini na nini asifanye Tatizi unaona kwa vile ulikua mwenezi basi Samia hawezi kukufanya kitu.
Uhuni wenu wa kuua na kuteka mnataja na sisi tuufanye au sio.
Hivi unaona unayohaki ya kuongea lolote kutoka kichwani kwako. Sasa nakukumbusha CCM na serikali haijashindwa kukunyoosha ukanyooka.
Endelea kufanya ziara za media kuponda kazi zinazifanywa na Rais Samia hakika utapata unacho kitaka.
Endelea kudhani kuwa unao ukubwa ulionao. Nakupa Onyo wewe na wanao kutuma.
#KAZI IENDELEE
Hata tozo akisimama na slow slow kwenye uchaguzi anapigwa kama amesimama. Ndiyo maana wanamfanyia visa.Slowslow kajibrand kijanja sana, yaani kwasasa ukimweka marope, Makato, Na wengineo hakuna wa kumfikia hata nusu robo!
Endelea kudhani kuwa unao ukubwa ulionao. Nakupa Onyo wewe na wanao kutuma.[emoji15]Unafiki kuwa uko na Rais halafu unasema Rais amezungukwa na wahuni. Hatukusikia Sabaya na Makonda ambao ni wahuni haswaaa ukitoa kauli. Unazarau mamlaka ya Rais au nini. unataka kumpangia Rais achague nani na nani amuache.
Unataka kumpangia Rais afanye nini na nini asifanye Tatizi unaona kwa vile ulikua mwenezi basi Samia hawezi kukufanya kitu.
Uhuni wenu wa kuua na kuteka mnataja na sisi tuufanye au sio.
Hivi unaona unayohaki ya kuongea lolote kutoka kichwani kwako. Sasa nakukumbusha CCM na serikali haijashindwa kukunyoosha ukanyooka.
Endelea kufanya ziara za media kuponda kazi zinazifanywa na Rais Samia hakika utapata unacho kitaka.
Endelea kudhani kuwa unao ukubwa ulionao. Nakupa Onyo wewe na wanao kutuma.
#KAZI IENDELEE
Afu kwelie! Kawa mjanja amegundua kuwa kipindi cha miaka 5 iliyopita kuna watu kawaboa sasa anatumia mbinu ya rejection kuwavutia sana watu.Hata tozo akisimama na slow slow kwenye uchaguzi anapigwa kama amesimama. Ndiyo maana wanamfanyia visa.