Polepole: Nimeshahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama, hiki ni kikao cha ndani hivyo taarifa rasmi zitatolewa na chama

Polepole: Nimeshahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama, hiki ni kikao cha ndani hivyo taarifa rasmi zitatolewa na chama

Kwani viti maalumu wanachaguliwa?
Hiyo haiondoi ukweli kuwa wale 10 wa rais ni wa kuteuliwa na hao wengine ni viti maalum. Kwa maelezo zaidi muulize yule Mzee nani yule wa Kwenye kijiwe chanjo.
 
ajiangalie Sana na ubunge wake wa viti maalumu anaenda resiresi hajui zama zake zakujiinua kwenyechama zimekushnei!! Ajifunze Kwa mwenzie bashiru skuizi katuliaaa baada ya kuumbuliwa na ukatibu wavisiku
 
Hiyo haiondoi ukweli kuwa wale 10 wa rais ni wa kuteuliwa na hao wengine ni viti maalum. Kwa maelezo zaidi muulize yule Mzee nani yule wa Kwenye kijiwe chanjo.
Bungeni hakuna wabunge wa kuteuliwa bwashee.
 
Huyo ni wa kuteuliwa,sio bit maalum.
Kwanza afadhali wa viti maalum kuliko mwanaume mwenzako akuteuwe tu kuwa mbunge bila watu kujua kigezo kilichotumika,hayo mambo wakati mwingine yanatupa mashaka sana.
 
Huu ndio ujinga mwengine wa kuacha watu midomo wazi.

Eti wataongelea wahusika, hataki kuongea upande wake na maoni yake kuhusu alichohojiwa. Kukitokea upotoshaji wa upande wa pili atakufa na tai shingoni ili kutetea uanachama wake sio? Yako maradhi kwenye hili taifa sijui yataponywa na mwarubaini gani?
 
Mbunge wa viti maalumu mh Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.

Pole pole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.

Source: Ayo tv

Jumaa kareem!
Naye amehojiwa leo.Alikuwa anashiriki kuwahoji wengine na kuwanyamba pia.Mambo yanabadilika kwa haraka mno.

By the way hata mbuge wa kiume wa kuteuliwa naye ni wa viti maalumu?
 
Naye amehojiwa leo.Alikuwa anashiriki kuwahoji wengine na kuwanyamba pia.Mambo yanabadilika kwa haraka mno.

By the way hata mbuge wa kiume wa kuteuliwa naye ni wa viti maalumu?
Hata AG ni viti maalumu bwashee!
 
Mbunge wa viti maalumu mh Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.

Pole pole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.

Source: Ayo tv

Jumaa kareem!
Hapo umemtendea haki Ni Mbunge wa viti maalumu asubili mamlaka iliyompa huo ubunge.
 
CCM taratibu msituone wajinga watanzania, tumewavumilia sana, mmekula sasa mmevimbewa. endeleeni na hako ka mchezo, mnafikiri mna hati ya kutawala mpaka maisha yetu? Maisha na jambo binafsi la mtu.
 
Kwanza afadhali wa viti maalum kuliko mwanaume mwenzako akuteuwe tu kuwa mbunge bila watu kujua kigezo kilichotumika,hayo mambo wakati mwingine yanatupa mashaka sana.
Kuna nafasi nyingi za kuteuliwa, ubunge, uwaziri, makatibu, na zinginezo
Je huna cheo Cha kuteuliwa mkuu?
 
Back
Top Bottom