Mbunge anayewakilisha Jimbo la Ikulu,anayepingana na kiti,ni Uhuru wa kusema au hajui yuko pale bungeni kutetea masilahi /kumwakilisha nani.Hataki kuwa Chawa wa Mamlaka ya uteuzi. Hapa kazi-Kazi iendelee.
Noma Sanaa aisee, mi nakuhakikishia Polepole na Bashiru alipokufa JPM walilia Sanaa sema TU ndio hivo muchozi ya smaki.Yaani mwanza itakua now huwa wanamuota usiku na hawaamini kama hawana madaraka tena