habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
tangu alipoteuliwa ukuu wa wilaya nikajua huyu si Pole pole tena bali atakuwa ni Haraka haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakweli yuko makini maana alisema madaraka ya raisi ni makubwa nno na katiba impunguzie hayo madaraka Lakini madaraka hayoayo yalipo kuwa makubwa mno kuliko kwa upande wake anakuja na porojo eti hii ni ccm mpya ianaowasiliza wananchi kwa hayoyote yananifanya nijiulizi hivi hii kweli ni nchi yetu auPole pole yuko makini,mkweli na habadiliki kama Mbowe,
Huyu jamaa anatia kichefuchefu...sikutegemea kuwa polepole yuko hivi kumbe huyu ni zaidi ya yule aliyempiga warioba.Mkuu jazba zimekupanda
Hivi huyu jamaa ni kijana au mzee! huwa sielewi kabisaPolepole kwishine kutokana na majibu yake hayo huyu jamaa amejidhihirisha ni mchumia tumbo tena na punguani wa akili. Unasema wakati wa katiba mpya ukifika???? Kwa hiyo kumbe kipindi mnakusanya maoni na kuandaa rasimu ya kwanza na ya pili wakati ulikuwa haujafika? Punguani kabisa kama vijana wanakuwa mazezeta namna hii basi tumekwisha.