Mheshimiwa Polepole kilio chake cha kuzimwa kwa sauti yake kinakisikika ila kwa hakika tunashindwa kumuelewa.
Kwa hakika kilio kama chake leo, kimekuwa chetu muda wote hata kipindi yeye akiwa mshirika mkuu wa mamlaka katika kutunyamazisha.
Ikumbukwe Mh. Polepole alikuwa huyu hapa katika ubora wake:
Alisahau kuwa na sisi tulikuwa na haki za kupaza sauti zetu kwa mujibu wa katiba hata kama binafsi hakuzipenda.
Hatupendi anavyonyamazishwa mheshimiwa huyu ila sasa angalau tusikie neno lake la kujutia basi?
Angalau tuone basi kuwa sasa anatambua alitukosoea mno kama hatimaye naye leo amepata kugundua kuwa wanamkukosea haki.
Ni hayo tu kwake mheshimiwa Polepole.
Atafakari achukue hatua.
Kwa hakika kilio kama chake leo, kimekuwa chetu muda wote hata kipindi yeye akiwa mshirika mkuu wa mamlaka katika kutunyamazisha.
Ikumbukwe Mh. Polepole alikuwa huyu hapa katika ubora wake:
Alisahau kuwa na sisi tulikuwa na haki za kupaza sauti zetu kwa mujibu wa katiba hata kama binafsi hakuzipenda.
Hatupendi anavyonyamazishwa mheshimiwa huyu ila sasa angalau tusikie neno lake la kujutia basi?
Angalau tuone basi kuwa sasa anatambua alitukosoea mno kama hatimaye naye leo amepata kugundua kuwa wanamkukosea haki.
Ni hayo tu kwake mheshimiwa Polepole.
Atafakari achukue hatua.