Polepole: Uhamiaji fuatilieni uraia, kuna baadhi ya watu si wenzetu!

Polepole: Uhamiaji fuatilieni uraia, kuna baadhi ya watu si wenzetu!

Yeye polepole ni raia wa wapi, tuanzie hapo kwanza..maana anaonekana ana sura ya kitusi.
 
Bashiru anatokea mbarara Uganda, MAGUFULI anatokea mkoani Gitega nchini Burundi waanze nao hao.
 
sasa hao uhamiji wao uraia wao ataufatilia polepole maana na kule wapo wanaojiita wahaya kumbe waganda 100%

Wengine wanajiita wajaruo & wakurya kumbe wakenye 100%,wengine wanajiita wanyambo kumbe wanyarwanda 100%


nchi hii tufanye mambo mengine hata kuwajengea majumba wasitaafu wenye majumba mpaka US ila kwenye uraia tutakuwa tunadanganyana

Polepole hakumsikia hayati Mkapa akisema baba yake alikuja Tanzania kutokea Msumbiji kwahiyo kiuhalisia mkapa ana ndugu wengi huko msumbiji kuliko wa kule Lupaso
 
Anavyo ndo maana tumempa Urais.Nyie ni TISS ?mpaka amepewa Urais Akili kubwa imejiridhisha yy ni raia halisi wa Tanzania huu ndo mchango wangu wa mwisho kwenye hili jambo la uraia, ila nakuasa Let us celebrate our dissimilazrities.
Kwa kuwa umeamua kuwa msemaji wake, lete hivyo vielelezo jukwaani. Wewe ni TISS? Wajinga ninyi mkishakosa vya maana vya kuwaambia wananchi mnaleta hoja za kiwendawazimu za uraia. Kwani mandege, madaraja na makorokoro mengine mliyofanya hayatoshi kuwashawishi waTZ wawachague?
 
Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.

Chanzo: Eatv

My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini

Maendeleo hayana vyama!
Mi nadhani ni yule mnyarwanda anayedai msukuma!
 
wewe akili huna ccm wameshashinda kabla hata ya uchaguzi...hata watanzania wote wapigie chadema ..hujui nchi inaendeshwa vipi
j
Umekariri mkuu ... hivi unamjua vizuri Tundu A. Lissu au unamsikia sikia tu

Shekhe Ponda Je, unamfahamu vizuri au unasikiaga tu Ansawar Sunna afu huwajui sasa subiri Oct 28 ndio utawafahamu vizuri

#NI YEYE + PONDA 2020 UKOMBOZI UMETAMALAKI ... CCM tupa kuleeee BAKWATA piga chini
 
Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.

Chanzo: Eatv

My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini

Maendeleo hayana vyama!
Mtuanza na mh rais
Je ana cgeti cga kuzaliwa?
 
Back
Top Bottom