Police Arusha wananitamani, CCM nao wamenikamia

Police Arusha wananitamani, CCM nao wamenikamia

Mawazo umemkatakata seuri ??? Tutatafutana tuuu tupo mount meru hosp .
 
Leo tumevamiwa ngomeni kwetu nawana ccm hapa Sombetini Arusha mjini na kuumizwa vibaya kwa baadhi ya wana cdm,nina mengi ya kuwaeleza lakini Niko kwenye tension kubwa,nawaza kwanini OCD kasema mbele ya makamanda wote eti anayetakiwa kupigwa zaid I au hata kufa ni Mimi?anasema eti Mimi Nina kihelehele kuliko Lema name kwamba siku Nikifa NO NUSU MLINGOTI,wako na OCCID wa Arusha

pole kamanda ila ulikwenda kufanya nn wkt ww ni adui yao
 
Polisi hawahawa mnaopigania wapewe maisha bora? Basi pengine huko CCP kuna kitu wanalishwa ili wasitumie akili kwa kufikiri bali watumie kiungo kingine cha mwili. Ndio maana wanawekwa kwenye mabanda kama ya kuku lakini hawajielewi.

Halafu cha kufurahisha zaidi na wenyewe wanataga kama kuku vile vile teh.
 
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.
Peleka ma------ yako kule pimbi wewe..
 
alpho

alphonceMAWAZO mbona nyinnyi mlivyowavamia ccm kwenye kikao chao cha ndani mkafanya fujo mkiwa na Lema na mgombea udiwani BANANGA mkataka kuwapiga CCM mbona hukuja JF na kutangaza?
...mkuki kwa nguruwe na usipende kutendea wenzako usiyoyataka wewe kutendewe.
....am watching ur game very closely ...too bad ni wananchi wasiojua ndio wanaumia zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Leo tumevamiwa ngomeni kwetu nawana ccm hapa Sombetini Arusha mjini na kuumizwa vibaya kwa baadhi ya wana cdm,nina mengi ya kuwaeleza lakini Niko kwenye tension kubwa,nawaza kwanini OCD kasema mbele ya makamanda wote eti anayetakiwa kupigwa zaid I au hata kufa ni Mimi?anasema eti Mimi Nina kihelehele kuliko Lema name kwamba siku Nikifa NO NUSU MLINGOTI,wako na OCCID wa Arusha
Pole sana kamanda.hapa wana mzambarau mwanza wanakupa pole sana
 
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.

ID kama yako hii kwa nini mods hawaiyeyushi? Yaani hawaifuti?
 
Dah,pole sana kamanda wetu.
Usife moyo,tunathamini mchango wako,na kwa sisi wanyonge tunakuombea ulinzi kwa MUNGU BABA MWENYEZI.
 
Leo tumevamiwa ngomeni kwetu nawana ccm hapa Sombetini Arusha mjini na kuumizwa vibaya kwa baadhi ya wana cdm,nina mengi ya kuwaeleza lakini Niko kwenye tension kubwa,nawaza kwanini OCD kasema mbele ya makamanda wote eti anayetakiwa kupigwa zaid I au hata kufa ni Mimi?anasema eti Mimi Nina kihelehele kuliko Lema name kwamba siku Nikifa NO NUSU MLINGOTI,wako na OCCID wa Arusha

Unajijua makosa yako mchochezi mkubwa! Na utashikwa tu.
 
Kafungue Jarada ofisini kwake fasta (tena kituo kikuu anapofanyia kazi/ofisini kwake). Una mtuhumu nani OCD Arusha , utaona atakupa maaskari wawili wa ulinzi wako hata ukiwa Mara, make ukifa tu ni yy, CDM na familia yako wanakula nae sahani moja. Napenda oneday Anyee ndoo anazo waamurisha maabusu kubeba make naona JK kawapa viburi sana hawa maaskari, wakati wakiwa hawana Bunduki ni Full waoga.
 
acha ujinga utakufa kweli tatizo lenu mnafanya siasa ugomvi kana kwamba bila siasa hakuna maisha ngoja siku watakapopasua hicho kichwa kwa risasi ndipo utajua kuwa mambo mengine yanahitaji busara siyo ugomvi.

wewe MBURULA NA FUKARA WA KUTUPWA , UNADHANI UNAWEZA KUMTISHA KAMANDA MAWAZO ?
 
Back
Top Bottom