Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
![]()
Arusha victim on 05/01/2011
Hivi nyie mbona mnaleta uchokozi na POLIce?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Arusha victim on 05/01/2011
![]()
Arusha victim on 05/01/2011
Na mimi piahii nimeipenda
![]()
Nimeipenda hii mno. Jamaa na utambulisho wake hala hakuna cha kusahau bendela ya chama, wala kofia. Kweli jamaa ni mfia chama. Asante kwa kutuwakilisha vilivyo![]()
Arusha victim on 05/01/2011
Majeruhi wa Arusha baada ya kupigwa Risasi
![]()
Wakuu ni ombi tu hizi picha zinazidisha hasira kwa wale walio namna moja au nyengine athirika na fujo au matukio hayo. Sidhani kama ni busara kuziweka kwani unachochea chuki katika jamii!! Ni mtazamo tu.
![]()
Arusha victim on 05/01/2011
hii ni kweli polisi wa tanzania?MMMhhhhhhhhhhhhhhh nimeshindwa kuangalia
Hii ilitokea bongo?
Hapana sio Bongo anaglia kwenye mkono wa kushoto wa huyo mwanajeshi kuna ngao ambayo inaonyesha ni kama ya west Africa au america ya kusini