Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Wadau kuna kundi kubwa sana la watu wanapora, yaaaan wanasimamisha gari kma abiria harafu wanapora mikoba, simu huku wakiwa na visu. Vijana wapo zaid ya kumi, yaaan hatari kwakweli.
Police zunguuken mitaa hiyo vibaka wapo wengi sana wanafanya uporaji
Police zunguuken mitaa hiyo vibaka wapo wengi sana wanafanya uporaji