Police fikirieni upya maamuzi yenu before mkamate mtu

Police fikirieni upya maamuzi yenu before mkamate mtu

Mnazinguakinoma

Senior Member
Joined
Dec 3, 2021
Posts
179
Reaction score
338
img_1_1661580598112.jpg

Jamani sasa kama mmefika huku basi mnataka vijana wote wawe wezi ili ijulikane tu kila kitu atakachofanya ni uharifu.

Haya huko pwani kijana wa watu tena msanii katengeneza mfano wa bunduki(matoi) ambayo anatumia kwaajili ya sanaa hajafanya uharifu wowote lakini anaenda jera #je mnadhani mnatengeneza mazingira yapi kwa kijana ambaye nae anakipaji cha kitu fulani kama huyo mliemkamata afanye nini au AKAIBE ili mumshike vizuri.

Dunia nzima kuna shida ya ajira sasa kama mtakua mnasweka ndani vijana wenye vipaji kama huyo vijana wafanye nini kwenye karne hii ya tatizo la ajira? Police fikirien mara mbili katika hili.
 
View attachment 2336138
Jamani sasa kama mmefika huku basi mnataka vijana wote wawe wezi ili ijulikane tu kila kitu atakachofanya ni uharifu.
Haya huko pwani kijana wa watu tena msanii katengeneza mfano wa bunduki(matoi) ambayo anatumia kwaajili ya sanaa hajafanya uharifu wowote lakini anaenda jera #je mnadhani mnatengeneza mazingira yapi kwa kijana ambaye nae anakipaji cha kitu fulani kama huyo mliemkamata afanye nini au AKAIBE ili mumshike vizuri.
Dunia nzima kuna shida ya ajira sasa kama mtakua mnasweka ndani vijana wenye vipaji kama huyo vijana wafanye nini kwenye karne hii ya tatizo la ajira? Police fikirien mara mbili katika hili.

Ninakazia:

"Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.'

Mengine yote ni dua la kuku.
 
Back
Top Bottom