Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,047
Binafsi sioni haja kupoteza rasilimali ikiwemo muda na mategemeo ya watu kumchunguza mtuhumiwa ambaye hata kipofu angemtambua kutokana na historia ya uhalifu wake usioacha nyayo hata chembe. Hii ni kanyaboya. Ukisoma taarifa ya wataalamu kwa umakini, ukatumia kumbukumbu nzuri na si akili, maarifa wala nyenzo; utamwona vizuri tu huyo mtuhumiwa