Acha kutetea makanisa ya wahuni wewe. Tunalalamika kila siku polisi kuruhusu CCM kuwa na jeshi lao la Green Guard kwa ajili ya kupiga watu na kuiba kura, hivyo tunatakiwa kulaani kwa nguvu zote kitendo cha viongozi wa dini kujianzishia vikundi vya wahuni na kuvipa silaha ili kufanya uhalifu kama wa kuvamia kiwanda cha jirani. Kwa mara ya kwanza nawapongeza polisi kwa kulivunja jeshi la Efata na wanatakiwa sasa kumkamata mchungaji aliyewatuma wale wahuni kufanya uhalifu kwa kisingizio cha dini. Dini zinahubiri amani, upendo, uvumilivu na unyenyekevu; kuwa na jeshi la wahuni ni kinyume cha mahubiri ya dini.Kuna dhana ambayo police na serekali kwa ujumla wanawaonea sana makanisa na ni tofauti sana kwa misikiti wanaiogopa sana, maranyingi sana kusikia makanisa yamefungwa kwa sababu ya kupigia watu kelele na mengine kubomolewa kupisha upanusi wa barabara. Kubwa zaidi ni pale serekali ilipo lazimisha kupitisha umeme mbele ya kanisa la kakobe na juzi police force kupiga maabomu ndani ya nyumba ya ibada efata bila kujali. kwanini ni kwa makanisa tu na sio kwenye msikiti
Mwingira anataka kuanzisha dola yake!kila mahali anagombea ardhi.pia ana jeshi lake hata mwema hamfikii.ISLAM IS PEACE!
Acha kutetea makanisa ya wahuni wewe. Tunalalamika kila siku polisi kuruhusu CCM kuwa na jeshi lao la Green Guard kwa ajili ya kupiga watu na kuiba kura, hivyo tunatakiwa kulaani kwa nguvu zote kitendo cha viongozi wa dini kujianzishia vikundi vya wahuni na kuvipa silaha ili kufanya uhalifu kama wa kuvamia kiwanda cha jirani. Kwa mara ya kwanza nawapongeza polisi kwa kulivunja jeshi la Efata na wanatakiwa sasa kumkamata mchungaji aliyewatuma wale wahuni kufanya uhalifu kwa kisingizio cha dini. Dini zinahubiri amani, upendo, uvumilivu na unyenyekevu; kuwa na jeshi la wahuni ni kinyume cha mahubiri ya dini.
Kuna msikiti mingi inafunja sheria lakimi police wanagwaya kutumia nguvu mfano ni kule ndanda sec wanafunzi walitishia kuchoma shule na kujifungia mskitin na kupanga mpango ya ufamia shule lakini police walichokifanya ni kulinda msikiti na shule na si kufamia kwa nn
Maeneo mengi utakuta misikitini wameweka vipaza sauti na wanatukana wakristo hakuna anaejari
Acha kutetea makanisa ya wahuni wewe. Tunalalamika kila siku polisi kuruhusu CCM kuwa na jeshi lao la Green Guard kwa ajili ya kupiga watu na kuiba kura, hivyo tunatakiwa kulaani kwa nguvu zote kitendo cha viongozi wa dini kujianzishia vikundi vya wahuni na kuvipa silaha ili kufanya uhalifu kama wa kuvamia kiwanda cha jirani. Kwa mara ya kwanza nawapongeza polisi kwa kulivunja jeshi la Efata na wanatakiwa sasa kumkamata mchungaji aliyewatuma wale wahuni kufanya uhalifu kwa kisingizio cha dini. Dini zinahubiri amani, upendo, uvumilivu na unyenyekevu; kuwa na jeshi la wahuni ni kinyume cha mahubiri ya dini.