Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Ila Kenya ndugu zetu wana mambo mazito kweli kweli. Kuna askari kapigwa manati katika maandamano akafariki.
Hebu angalia hiyo manati kwenye picha[emoji1787][emoji23], Mungu anisamehe.
===
Afisa wa Polisi amefariki baada ya kupigwa na jiwe kifuani wakati wa maandamano ya kupinga Serikali Alhamisi, katika Kaunti ya Kisumu nchini Kenya.
Ben Oduor, ambaye alikuwa amelazwa katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira, alifariki katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi cha Hospitali ya Aga Khan (ICU) Alhamisi usiku.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Nyanza Noah Mwivanda, alisema Koplo huyo aligongwa na watu waliotumia manati kubwa ya kujitengenezea ya kienyeji na mawe walipokuwa wakiendesha mapambano na Polisi.
Hebu angalia hiyo manati kwenye picha[emoji1787][emoji23], Mungu anisamehe.
===
Afisa wa Polisi amefariki baada ya kupigwa na jiwe kifuani wakati wa maandamano ya kupinga Serikali Alhamisi, katika Kaunti ya Kisumu nchini Kenya.
Ben Oduor, ambaye alikuwa amelazwa katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira, alifariki katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi cha Hospitali ya Aga Khan (ICU) Alhamisi usiku.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Nyanza Noah Mwivanda, alisema Koplo huyo aligongwa na watu waliotumia manati kubwa ya kujitengenezea ya kienyeji na mawe walipokuwa wakiendesha mapambano na Polisi.