Polisi amefariki kwa kupigwa manati

Polisi amefariki kwa kupigwa manati

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Ila Kenya ndugu zetu wana mambo mazito kweli kweli. Kuna askari kapigwa manati katika maandamano akafariki.

Hebu angalia hiyo manati kwenye picha[emoji1787][emoji23], Mungu anisamehe.

===

Screenshot_20230401-162224_1.jpg

Afisa wa Polisi amefariki baada ya kupigwa na jiwe kifuani wakati wa maandamano ya kupinga Serikali Alhamisi, katika Kaunti ya Kisumu nchini Kenya.

Ben Oduor, ambaye alikuwa amelazwa katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira, alifariki katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi cha Hospitali ya Aga Khan (ICU) Alhamisi usiku.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Nyanza Noah Mwivanda, alisema Koplo huyo aligongwa na watu waliotumia manati kubwa ya kujitengenezea ya kienyeji na mawe walipokuwa wakiendesha mapambano na Polisi.
 
Ila Kenya ndugu zetu wana mambo mazito kweli kweli. Kuna askari kapigwa manati katika maandamano akafariki.

Hebu angalia hiyo manati kwenye picha[emoji1787][emoji23], Mungu anisamehe.

===

View attachment 2573055
Afisa wa Polisi amefariki baada ya kupigwa na jiwe kifuani wakati wa maandamano ya kupinga Serikali Alhamisi, katika Kaunti ya Kisumu nchini Kenya.

Ben Oduor, ambaye alikuwa amelazwa katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira, alifariki katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi cha Hospitali ya Aga Khan (ICU) Alhamisi usiku.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Nyanza Noah Mwivanda, alisema Koplo huyo aligongwa na watu waliotumia manati kubwa ya kujitengenezea ya kienyeji na mawe walipokuwa wakiendesha mapambano na Polisi.
Duh manati hiyo, lazima ijeruhi vibaya
 
Hapo kwenye kigozi wamevuta watu watatu jiwe lina ukubwa kama nusu ya mkate hivi yani ukipigwa lalizma usambae.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom