The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Siumeona kipago wameshika watu 3[emoji23][emoji1787] huko wanaovuta jiwe sijui ni wangapi
Watumiaji lazima wavae gloves, helmet na wafuzu mafunzo Cuba au zamani wangeenda Yugoslavia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siumeona kipago wameshika watu 3[emoji23][emoji1787] huko wanaovuta jiwe sijui ni wangapi
Duh manati hiyo, lazima ijeruhi vibaya
Lakini kaukimbia uzi unaohusu nchi yake🤣🤣Kwenye uzi wa yanayoendelea Ukraine yupo
Manati ni silaha mojawapo hatari sana kati ya nyingi hasa zikitumika gololi. Kichwani huponiIla Kenya ndugu zetu wana mambo mazito kweli kweli. Kuna askari kapigwa manati katika maandamano akafariki.
Hebu angalia hiyo manati kwenye picha[emoji1787][emoji23], Mungu anisamehe.
===
View attachment 2573055
Afisa wa Polisi amefariki baada ya kupigwa na jiwe kifuani wakati wa maandamano ya kupinga Serikali Alhamisi, katika Kaunti ya Kisumu nchini Kenya.
Ben Oduor, ambaye alikuwa amelazwa katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira, alifariki katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi cha Hospitali ya Aga Khan (ICU) Alhamisi usiku.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Nyanza Noah Mwivanda, alisema Koplo huyo aligongwa na watu waliotumia manati kubwa ya kujitengenezea ya kienyeji na mawe walipokuwa wakiendesha mapambano na Polisi.
🤐Alafu manati imeandikwa baba [emoji23]odinga ana watu
Mk54 uko wapi?Lakini kaukimbia uzi unaohusu nchi yake🤣🤣