Polisi amefariki kwa kupigwa manati

Siumeona kipago wameshika watu 3[emoji23][emoji1787] huko wanaovuta jiwe sijui ni wangapi

Watumiaji lazima wavae gloves, helmet na wafuzu mafunzo Cuba au zamani wangeenda Yugoslavia
 
Manati ni silaha mojawapo hatari sana kati ya nyingi hasa zikitumika gololi. Kichwani huponi
 
Tatizo la Kenya ni ubaguzi wa kikabila, pengine huyo Pot angepona. Hilo jina BEN ODOUR linafanana na watu wa kabila la Odinga, sasa usikute Jeshi na Serikali vilimsusa Afande Oduor ajifie kwasababu nduguze ndo wanasumbua nchi. Nimefanya kufikiria tu. 🤔
 
Kwa Manati hiyo siyo Polisi tu hata Mwanajeshi lazima aende Kuzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…