Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
''Askari ambaye anapokea rushwa hiyo tabia ametoka nayo kwenye malezi na wananchi ndio wamekuwa wakichochea polisi kuchukua rushwa'' - Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SACP David Misime
Je kweri wananchi ndo wanachochea polisi kuchukua rushwa.
Je kweri wananchi ndo wanachochea polisi kuchukua rushwa.