Polisi arekodiwa akiwaamrisha wananchi watawanyike la sivyo wanaweza kufa wakati wa maandamano ya CHADEMA

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Watu wengi wanapotea kwa taarifa kua walichukuliwa, waliitwa ama kukamatwa na Polisi ilihali maiti ikiokotwa sehemu kadhaa, na imefikia hatua Halmashauri ya Mkuranga kutangazwa kazi ya kuzika maiti ambazo wenyewe hawajulikani.

Tazama clip hii watu wakiamriwa na jeshi la polisi wachague ama kuondoka au wabaki ambako wanaweza kufa! Je, polisi wamepewa kibali cha kuua?

IGP, Waziri wa mambo ya ndani hongereni kwa kazi nzuri, Raisi Samia mpandishe cheo huyu askari mzalendo!

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…