Polisi au TRA mkamateni haraka Chief Goodlove atoe maelezo chanzo cha hivyo vijisenti vyake

Polisi au TRA mkamateni haraka Chief Goodlove atoe maelezo chanzo cha hivyo vijisenti vyake

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Sio kama nina wivu bali sheria ya money laundering iko wazi.

Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithi na hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,

Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za mauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawahi kuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.

Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au boss wa TRA ya enzi zile ikiitwa forodha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.

Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya m9ney laundering iko wazi.
Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithina hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,t
Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za nauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawaikuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.
Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au biss wa TRA ya enzi zile ikiitwa f9ridha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.
Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
Ngoja waje
 
Anawachangisha hela watu wajiunge kwenye group la whatsap,akufundishe namna ya kuwa tajiri 😄
Nchi hii ina wapumbav sana +media zote wapmbv wana support ujinga na watu kupigwa
Naona sahv watu dizaini hyo wanamsifia sana mama saa100 pia

Ova
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya money laundering iko wazi.

Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithi na hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,

Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za mauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawahi kuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.

Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au boss wa TRA ya enzi zile ikiitwa forodha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.

Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
Wamkamate kwa kosa gani??
Polisi na TRA hawatakiwi kufanya kazi kama wapiga ramli tu.
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya m9ney laundering iko wazi.
Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithina hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,t
Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za nauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawaikuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.
Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au biss wa TRA ya enzi zile ikiitwa f9ridha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.
Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu

1. Sio kama nina wivu bali.......

2. Mimi si mbaguzi ila ......

3. Sio kwamba nakutukana ila......

4. Mimi sio mchoyo ila..........

5. Sio kwamba nina roho mbaya bali.........

Ukiona mtu kaanza na kauli kama hizo jua ana hiyo tabia anayojaribu kusema hana hii ni ili akuandae kisaikolojia kupokea matusi, kauli za kibaguzi n.k
 
Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
Mawazo ya kijima sana haya.
 
Anawachangisha hela watu wajiunge kwenye group la whatsap,akufundishe namna ya kuwa tajiri 😄
Nchi hii ina wapumbav sana +media zote wapmbv wana support ujinga na watu kupigwa
Naona sahv watu dizaini hyo wanamsifia sana mama saa100 pia

Ova
kingilio 150k akipata wajinga 10,000 anapata 1.5 billion just imagine
 
Wamkamate kwa kosa gani??
Polisi na TRA hawatakiwi kufanya kazi kama wapiga ramli tu.
Hakuna kosa hapo,ila kumbuka DeCI na yule jamaa wa kuku na MR Manguruwe walikamatwa
TRA wanamkamata ili kyjuakama analipa kodi,na polusi wanamkanata kujua kama shughuli zake za kiuchumi ni halali
 
Waanze kukukamata wewe kwanza na kukuhoji,kwanini wewe ni masikini licha ya kupata mamilioni baada ya kuuza Nyumba ya urithi?

Halafu kwani huyo Chief Godlove ndio nani huko Daslam?
Milioni 340 gawanya kwa 10 ni 34M
Hela ya mboga
 
1. Sio kama nina wivu bali.......

2. Mimi si mbaguzi ila ......

3. Sio kwamba nakutukana ila......

4. Mimi sio mchoyo ila..........

5. Sio kwamba nina roho mbaya bali.........

Ukiona mtu kaanza na kauli kama hizo jua ana hiyo tabia anayojaribu kusema hana hii ni ili akuandae kisaikolojia kupokea matusi, kauli za kibaguzi n.k
Hakika
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya money laundering iko wazi.

Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithi na hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,

Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za mauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawahi kuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.

Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au boss wa TRA ya enzi zile ikiitwa forodha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.

Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu


Tena ingetakiwa kukamatwa muda mrefu sana, sbb inatakiwa aseme wazi anafanya biashara gani na analipa kodi kiasi gani, usikute ni mtu hatari sana na anashawishi vijana ujinga
 
Tena ingetakiwa kukamatwa muda mrefu sana, sbb inatakiwa aseme wazi anafanya biashara gani na analipa kodi kiasi gani, usikute ni mtu hatari sana na anashawishi vijana ujinga
Bora wewe umeelewa theme ya huu uzi
 
Back
Top Bottom