Polisi au TRA mkamateni haraka Chief Goodlove atoe maelezo chanzo cha hivyo vijisenti vyake

Polisi au TRA mkamateni haraka Chief Goodlove atoe maelezo chanzo cha hivyo vijisenti vyake

Mkuu mlifanya malipo ya capital gain tax baada ya kuuza nyumba yenu ya urithi?

unajua kama hamkulipa tayari upo kwenye kosa lajinai kwa kukwepa kulipa kodi kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.

Punguza kelele
 
Hiyo mara nyingi analipa aliyenunua mali hasa pale anapotaka kubadilisha umiliki. Manaa lazima upeleke mkataba wa mauziano kwenye halmashauri huaika na TRA.
 
kingilio 150k akipata wajinga 10,000 anapata 1.5 billion just imagine
Formula ni kuonyesha una maisha fulani mtandaoni labda via forex au chochote. Toka toka nje kidogo hapo south endesha gari za kukodi.
Kisha wambie walipie uwape siri, basi hukosi wajinga hata 2000 nakwambia
 
Utaolewa na kuendelea kufumuliwa matako kwa kufuatilia maisha ya mwanaume mwenzako... Chuki wivu na umasikini unawafanya WaTz mfe haraka
 
Tena ingetakiwa kukamatwa muda mrefu sana, sbb inatakiwa aseme wazi anafanya biashara gani na analipa kodi kiasi gani, usikute ni mtu hatari sana na anashawishi vijana ujinga
Watu watakupuuza ila umeseka
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya money laundering iko wazi.

Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithi na hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,

Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za mauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawahi kuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.

Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au boss wa TRA ya enzi zile ikiitwa forodha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.

Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
Kama serikali iko kimya jua wameshamchungulia wameona. Pesa alizonazo ni za kawaida sema sisi Wanyakyusa tuna kelele sana. Ila angalau anazo za kusumbua mjini na uzuri Mwaisa anarudi nyumbani kwa mama yake mara kdhaaa hali peke yake
 
Ndo maisha ya mtandaoni.
Kina kaclip kalitolewaga na jamaa flani hivi.
Mbao zipo kama manoti.
Hela zooooote zile WAKULUNGWA wawe hawajamtembelea mahomet kweli.
Mwenye akili.......
Ila mda ni mwalimu mzuri.
 
Tena ingetakiwa kukamatwa muda mrefu sana, sbb inatakiwa aseme wazi anafanya biashara gani na analipa kodi kiasi gani, usikute ni mtu hatari sana na anashawishi vijana ujinga
Polisi hawatakiwi kumkamata mtu bila ushahidi wa huyo mtu kuvunja sheria.
Itakuwa ni upuuzi polisi kumkamata mtu ili yeye tu eti awaambie anafanya biashara gani.
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya money laundering iko wazi.

Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithi na hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,

Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za mauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawahi kuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.

Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au boss wa TRA ya enzi zile ikiitwa forodha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.

Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
inavo onesha ata mgao wako hukuufanyia la maana usingekua na muda wa ku judge mambo ya watu
 
Sio kama nina wivu bali sheria ya money laundering iko wazi.

Mwaka 2018 tuliuza nyumba ya urithi na hela ikaingizwa kwenye akaunti yangu,milioni 340,

Siku ya kwenda kuitoa ili tugawane,benki walinizuia mpaka nilipoleta nyaraka za mauziano,akaunti yangu ilikuwa haijawahi kuingiziwa zaidi ya milioni 30 tanguniifungue miaka zaidi ya ishirini nyuma.

Enzi za mwalimu,kamanda wa Polisi mkoa ,au boss wa TRA ya enzi zile ikiitwa forodha angeshamuhoji huyu anayejiita Chief Goodlove.

Watu kama hao ni hatari kwa uchumi maana wanafanya vijana wasipambane kujenga uchumi wakidhani hela hupatikana kirahisi rahisi tu
Mukulu una hasira sana,Achana na vitoto hivi pambania ardhi yako.
We kama watoto wadogo hawa wanakusumbua bora uache familia.
Ataolewa mkeo na binti na mamaako huku we kazi yako kupiga makofi.
Bahati nzuri ukoo wangu tuliwahi kumwajiri babayake huyo zama hizo pale Uyole.
 
Ina maana hakuna hata member mmoja humu ambae ni mtu wake wa karibu?

Inawezekana je member wote humu hakuna anae jua biashara zake?
 
Back
Top Bottom