Kwani Kijazi nae alikua ni maarufu kuliko Covid 19?Kwani Nape bado ni maarufu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kijazi nae alikua ni maarufu kuliko Covid 19?Kwani Nape bado ni maarufu!
Haya yanahusika ktk jukwaa la siasa?Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam imesema silaha ya mbunge wa Mtama mkoani Lindi iliyoibiwa kupitia dirishani nyumbani kwake Kawe beach jijini Dar es salaam imepatikana.
Silaha hiyo aina ya bastola ikiwa na risasi 14 imepatikana mkoani Mbeya baada ya ushirikiano wa polisi wa mikoa hiyo miwili na mtu mmoja anashikiliwa kuhusiana na tukio hilo.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!