Polisi Dar waanza kumtafuta mfanyabiashara anayedaiwa kupotea.

Polisi Dar waanza kumtafuta mfanyabiashara anayedaiwa kupotea.

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Screenshot_20241214-173100.jpg
 
Makelele ya mke hufukuza mume, mwanaume unataka utulivu mke yupo na makelele tu. Utarudi vipi nyumba haina amani tena kama mwanzo.

Halafu kunatolewa taarifa mfanyakazi kapotea kwahio nyumba haionekani tena?.
 
Mfanyabiashara ,itakuwa mambo ya mabizness

Ova
Hata nilitaka kusema hivyo. Unajua polisi nao hawaaminiki sasa hivi hata kama siyo hao hawajateka lakini wananchi wameshajenga imani ni wao. Matukio mengine ya utekaji ni wivu wa mapenzi na kudhulumiana.

Nilisikia yukio la Abdul Nondo kutekwa isingekuwa baadhi ya polisi kuingilia kati dogo angeshapotezwa.
 
Yaani wananchi sisi ndo tutoe taarifa?,
mmeshindwa kuwatafuta wale waliyempigia simu?
Alafu mbona rahisi kujua
Polisi wachunguze je jamaa alifika kwenye hiyo bandari kavu na kama alifika na kama alifika kuingia ndani bandari kavu lazima asign getini na kuonesha kitambulisho
Na hapo mbagala nyuma ya dar live mitaa hyo kuna bandari kavu moja ya ATC
Wakimkosa kwenye hiyo labda jamaa kapata ajali ya hyo boda hakufika safari yake wazungukie kila hispitali wamuangaliee

Ova
 
Back
Top Bottom