Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Washukuriwe WAASISI WA KUTEKA WATU KWA MAFANIKIO HAYA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vuneni mlichopanda. Kipindi kile tunawaambia jamani Dkt Magufuli ni mtu mwema hajawahi kuangiza utekaji wala mauaji, ila mkashupaza shingo mpaka kufanya sherehe ya kifo chake mkajisemea eti utekaji na watu kupotea sasa mwisho hahaha, hao magaidi wapo na hawana kabisa uhusiano na serikali ila ni wahuni fulani.
Ndiyo maana kipindi cha Dkt Magufuli tuliwaambia tuungane kukemea haha ngonjera zikawa eti Dkt Magufuli anaagiza. Sasa hayupo na watu wanatekwa na kufa balaa.Washukuriwe WAASISI WA KUTEKA WATU KWA MAFANIKIO HAYA.
Kwenye dunia ya utandawazi polisi wetu wapo.nyuma sana. Mpaka unashangaa.Alafu mbona rahisi kujua
Polisi wachunguze je jamaa alifika kwenye hiyo bandari kavu na kama alifika na kama alifika kuingia ndani bandari kavu lazima asign getini na kuonesha kitambulisho
Na hapo mbagala nyuma ya dar live mitaa hyo kuna bandari kavu moja ya ATC
Wakimkosa kwenye hiyo labda jamaa kapata ajali ya hyo boda hakufika safari yake wazungukie kila hispitali wamuangaliee
Ova
Labda kwenye ukaguzi TRA wameona kwenye mzigo wake kuna vitu wameona syo sawa ndy wakamuitaTRA TANZANIA , Tunahitaji ufafanuzi Nini kinaendelea kwenye korido zenu
Kwenye upelelezi wako nyuma sana maana polisi wakiende kwenye hyo icd watapata data zoteKwenye dunia ya utandawazi polisi wetu wapo.nyuma sana. Mpaka unashangaa.
Tumeshawasikia ni wajinga sana. Kwanza wana dharau mamlaka utadhani siku wakichukua nchi watatengeneza vyombo vyao vya ulinzi na usalama.Watakujibu yeye ndio alianzisha
Unamaanisha itakua jamaa Bado anahojiwa na tra mpaka Sasa?Labda kwenye ukaguzi TRA wameona kwenye mzigo wake kuna vitu wameona syo sawa ndy wakamuita
Kama alitumia agent wake ,hakuwa na maelezo ya kutosha
Ova
Jiwe hakuwai kuwa mwema, shetani anaweza kuwa mwema ila sio jiweVuneni mlichopanda. Kipindi kile tunawaambia jamani Dkt Magufuli ni mtu mwema hajawahi kuangiza utekaji wala mauaji, ila mkashupaza shingo mpaka kufanya sherehe ya kifo chake mkajisemea eti utekaji na watu kupotea sasa mwisho hahaha, hao magaidi wapo na hawana kabisa uhusiano na serikali ila ni wahuni fulani.
Kwa ujinga wako huu ndiyo maana mambo mabaya yanaendelea na wahuni wanatumia huu ujinga wako kuendelea kuruhusu vitu vya ovyo kutokea. Na aliyekudanganya kuhusu Dkt Magufuli kwa kumuita eti jiwe ni mjinga na wewe ni mpumbavu na mjinga mjinga fulani usiyekuwa na akili kichwani, kwanza mie anayemuita Dkt Magufuli jiwe huwa naona ana upungufu wa akili na ni mwehu tu. Tujifunze kuheshimu watu. Na ndiyo maana unaona mbowe au lisu hawajeshimiki kabisa mitaani kwa sababu ya kuleta dharau kwa viongozi wetu wa CCM.Jiwe hakuwai kuwa mwema, shetani anaweza kuwa mwema ila sio jiwe
Magufuli ye mwenyewe ndio alijiita kuwa yeye ni jiwe,yeye ni kiongozi wa Malaika mbinguni,kwamba Mungu atakaa pembeni malaika watafuata amri yake,,Kwa ujinga wako huu ndiyo maana mambo mabaya yanaendelea na wahuni wanatumia huu ujinga wako kuendelea kuruhusu vitu vya ovyo kutokea. Na aliyekudanganya kuhusu Dkt Magufuli kwa kumuita eti jiwe ni mjinga na wewe ni mpumbavu na mjinga mjinga fulani usiyekuwa na akili kichwani, kwanza mie anayemuita Dkt Magufuli jiwe huwa naona ana upungufu wa akili na ni mwehu tu. Tujifunze kuheshimu watu. Na ndiyo maana unaona mbowe au lisu hawajeshimiki kabisa mitaani kwa sababu ya kuleta dharau kwa viongozi wetu wa CCM.