Polisi Dodoma kuvaa kiraia, kuendesha pikipiki za kiraia na kuvizia bodaboda ni njaa au?

Polisi Dodoma kuvaa kiraia, kuendesha pikipiki za kiraia na kuvizia bodaboda ni njaa au?

Wew njoo mkuu tutajuana ukiwa hapa
Sasa dogo hizi ni dharao...UNAIDHARAU JAMHURI???!!!!..dakika 10 chap tuko hapo,.....ukituona tafadhali jilete mwenyewe. Tuko njiani..tunatoka kituoni sasa hivi. Hiki kituo jirani na Hospital ya Mkoa.
 
Wahini mwendo wa ngiri
Unaidharau Jamhuri???!!!....hivi wewe unaakili kweli wewe? Umepimwa akili hapo kwanza ulipo? Au umelogwa? Kalamu ya CELLO inakuhusu leo,...tulia hivyo hivyo tunakuja....we si kidume bana...unatafuta Kick jf....Sawa tutaona kama JF itakuja kukutoa au hata kukudhamini.
 
Wakuu ni njaa kali sana au ni nini nimeshuhudia polisi Dodoma wamevaa kiraia wanaendesha pikipiki za kiraia wanavizia bodaboda na kuchukua rushwa nimewaona leo hapa Area C nikashangaa ndio utaratibu wa kazi ulivyo sasa hivi!
Kwa ground hari ni ngumu,ni katika kutafuta pesa ya ziada,maisha yaende
 
Nchi nzima polisi ni kero kwa waendesha pikipiki sijui tatizo ni nini, hivi serikali ikifika hatua pikipiki ikawa na hadhi sawa na baiskeli kuna shida gani?
 
Back
Top Bottom