Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
Polisi jijini Dodoma wanadaiwa kumfanyia vitendo vya ukatili dereva wa bodaboda kwa kumuingiza mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na kumsababishia majeraha.
Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.
Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.
Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.
Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.