Polisi Dodoma Wanadaiwa Kumfanyia Vitendo Vya Ukatili Dereva Wa Bodaboda

Polisi Dodoma Wanadaiwa Kumfanyia Vitendo Vya Ukatili Dereva Wa Bodaboda

Mashashola

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2020
Posts
4,345
Reaction score
5,718
Polisi jijini Dodoma wanadaiwa kumfanyia vitendo vya ukatili dereva wa bodaboda kwa kumuingiza mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na kumsababishia majeraha.

Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.

Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.



Screenshot_20210916-164442.jpg
 
Polisi jijini Dodoma wanadaiwa kumfanyia vitendo vya ukatili dereva wa bodaboda kwa kumuingiza mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na kumsababishia majeraha.

Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.

Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.



View attachment 1940568
Huyu raia yeye alifanya kosa gani mpaka kukutwa na masaibu yote haya? Nafikiri ili police wapo humu na wataliona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe kuja hapa. Huwa unadai kuwa polisi wenu ni wazuri kama malaika.
Hii kwa Tanzania ni very big news and shame kubwa Sana kwa polisi wa Tanzania, believe me hao polisi watashughulikiwa haraka Sana Kama ni kweli, hiyo ndio tofauti Kati ya Kenya na Tanzania.

1) Tanzania= Polisi wakimtia mjiti mat**akoni ni breaking news

2)Kenya= Polisi wakiwauwa raia kwa risasi "is a routine event".
 
Polisi jijini Dodoma wanadaiwa kumfanyia vitendo vya ukatili dereva wa bodaboda kwa kumuingiza mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na kumsababishia majeraha.

Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.

Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.



View attachment 1940568

Polisi ni wa CCM
Dodoma ni kwa CCM
Bodaboda ninwa CCM.

Mungu amponye na kumpa afya njema Bodaboda.

Ila matendo ya polisi yatasababisha kina Hamza wengi
 
Aaargghhh!!! Hovyoo sana halafu utakuta watalindana, mapolisi yaani.
Kuna video nyingine inatrend polisi sijui ni Tanga, huingia kwenye vilabu na kujichukulia mwanamke yeyote wanayemtaka hata kama ametoka na mpenzie, yaani wanakukuta umekaa na mpenzi wako mnapata viburudisho wanamchukua kibabe na kwenda naye kwa defenda, wanamfanyia yao na kumuacha.
 
Polisi jijini Dodoma wanadaiwa kumfanyia vitendo vya ukatili dereva wa bodaboda kwa kumuingiza mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na kumsababishia majeraha.

Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.

Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.



View attachment 1940568

RPC na mamlaka zingine shughulikieni hili Ili haki itendeke
 
Polisi jijini Dodoma wanadaiwa kumfanyia vitendo vya ukatili dereva wa bodaboda kwa kumuingiza mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na kumsababishia majeraha.

Dereva huyo wa bodaboda ambaye pia ni mcheza muziki, Ally Bakari (21) mkazi wa Kata ya Mkonze amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, General kwa ajili ya matibabu.

Bakari alidai kufanyiwa ukatili huo kwa kupigwa, kunyofolewa rasta, kuteswa na kutobolewa utumbo kwa kuingizwa mti wa ufagio sehemu ya haja kubwa na watu aliodai ni polisi.



View attachment 1940568
Hawa dawa yao ni kina Kibatala mahakamani
 
Back
Top Bottom