Polisi Dodoma Wanadaiwa Kumfanyia Vitendo Vya Ukatili Dereva Wa Bodaboda

Polisi Dodoma Wanadaiwa Kumfanyia Vitendo Vya Ukatili Dereva Wa Bodaboda

Aaargghhh!!! Hovyoo sana halafu utakuta watalindana, mapolisi yaani.
Kuna video nyingine inatrend polisi sijui ni Tanga, huingia kwenye vilabu na kujichukulia mwanamke yeyote wanayemtaka hata kama ametoka na mpenzie, yaani wanakukuta umekaa na mpenzi wako mnapata viburudisho wanamchukua kibabe na kwenda naye kwa defenda, wanamfanyia yao na kumuacha.
Hakuna kitu Kama hicho kinaweza tokea Tanzania, usilazimishe ujinga wenu huko Kenya nao utokee Tanzania, hatulingani hata kidogo, police ya Tanzania ni miongoni mwa highly disciplined in Africa, while polisi wenu wanaongoza kwa brutality & killings Africa nzima
 
Hawa dawa yao ni kina Kibatala mahakamani
Hivi huwa mnamuelewa kibatala ile mbinu atumiayo! si lazima kila shahidi hawe msomi wa sheria kwahiyo maswali aliyokuwa akiuliza kibatala ni mbinu tu yakumtoa shahidi relini hakuna kibaya pale,yule Kingai yupo timamu sema kwavilie hii nchi ni ya mapunguani acha tu tumpe sifa huyo 'Kibatali'
 
Me ndo maana nasema police
Walaaniwe Tu hao n humbwa kabisa
 
Hakuna kitu Kama hicho kinaweza tokea Tanzania, usilazimishe ujinga wenu huko Kenya nao utokee Tanzania, hatulingani hata kidogo, police ya Tanzania ni miongoni mwa highly disciplined in Africa, while polisi wenu wanaongoza kwa brutality & killings Africa nzima
Acha ujinga ww Kama ww house boy
Ustake sisiwote tuwe wafanyakaz wa ndan
Kama ww

Hyo habar n ya kweli na imeripotiwa Sana
Hata mamlaka za tanga zilisema kabisa
Zmeona hyo kitu wanalifanyia uchunguz

Police wa Africa n Zaid ya ng'ombe
Hata ng'ombe hua ana akili yani
 
Acha ujinga ww Kama ww house boy
Ustake sisiwote tuwe wafanyakaz wa ndan
Kama ww

Hyo habar n ya kweli na imeripotiwa Sana
Hata mamlaka za tanga zilisema kabisa
Zmeona hyo kitu wanalifanyia uchunguz

Police wa Africa n Zaid ya ng'ombe
Hata ng'ombe hua ana akili yani
Wewe pimbi nini?, leta ushahidi Kama hilo Jambo limetokea zaidi ya maneno ya mitandaoni yanayochagizwa na watu wajinga Kama wewe, tupe ripoti ya huo uchunguzi unaodai Kama ulibaini kwamba hilo Jambo lilifanyika kweli. Ingia google uone ranking ya Polisi wa Tanzania, japo sio perfect like ni miongoni mwa polisi Bora hapa Africa, taja ni lini kwa mara ya mwisho umesikia ukatili wa polisi wa Tanzania na ulinganishe na Kenya.
 
Hii kwa Tanzania ni very big news and shame kubwa Sana kwa polisi wa Tanzania, believe me hao polisi watashughulikiwa haraka Sana Kama ni kweli, hiyo ndio tofauti Kati ya Kenya na Tanzania.

1) Tanzania= Polisi wakimtia mjiti mat**akoni ni breaking news

2)Kenya= Polisi wakiwauwa raia kwa risasi "is a routine event".
Mchele utabaki kuwa mchele tu, hata ukita ka kwenda kupika biriani dukani bei ile ile tu
 
Duh, hao polisi watakuwa masen..., hadi kufikichua jicho la dume kwa fagio, mmae! 🤦🏾‍♂️
 
Hii kwa Tanzania ni very big news and shame kubwa Sana kwa polisi wa Tanzania, believe me hao polisi watashughulikiwa haraka Sana Kama ni kweli, hiyo ndio tofauti Kati ya Kenya na Tanzania.

1) Tanzania= Polisi wakimtia mjiti mat**akoni ni breaking news

2)Kenya= Polisi wakiwauwa raia kwa risasi "is a routine event".
Oya bro, afadhali kufa kwa risasi lakini si kut... miti ile sehemu! 🤣 Hebu wacheni unyama!
 
Aaargghhh!!! Hovyoo sana halafu utakuta watalindana, mapolisi yaani.
Kuna video nyingine inatrend polisi sijui ni Tanga, huingia kwenye vilabu na kujichukulia mwanamke yeyote wanayemtaka hata kama ametoka na mpenzie, yaani wanakukuta umekaa na mpenzi wako mnapata viburudisho wanamchukua kibabe na kwenda naye kwa defenda, wanamfanyia yao na kumuacha.
Duh, matokeo ndiyo yale ya Hamza the gunman! Hata wewe utakubali kudhalilishwa na mafala eti sababu wana mamlaka? 😂
 
Back
Top Bottom