Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulalamika mbona ajira portal watu wanatoka mbaliView attachment 3049882
Gaweni kikanda Tanzania bara ni pakubwa sana , mnategemea mtu kutoka Kagera aje Dar kwenye usaili ? Mtu kutoka Mbeya huko aje Dar kwenye usaili ? Tumieni hekima na busara msiwe kama watu mazuzu na wasio na akili gaweni kikanda wekeni usawa na haki , mpate watu sahihi.
Ni jambo la kusikitisha kuona nafasi za polisi zinagawiwa kwa watoto wa watu wenye uwezo wa fedha na walio karibu na Dar, Pemba na Unguja! Kwa watoto walio mbali na miji hiyo na wazazi wasio na uwezo ni vigumu kupata nafasi hizo!View attachment 3049882
Gaweni kikanda Tanzania bara ni pakubwa sana , mnategemea mtu kutoka Kagera aje Dar kwenye usaili ? Mtu kutoka Mbeya huko aje Dar kwenye usaili ? Tumieni hekima na busara msiwe kama watu mazuzu na wasio na akili gaweni kikanda wekeni usawa na haki , mpate watu sahihi.
Nimeshangaa sana hii kitu visiwan wameweka maeneo ya usaili pemba na unguja ila tanganyika wameweka dar tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3049882
Gaweni kikanda Tanzania bara ni pakubwa sana, mnategemea mtu kutoka Kagera aje Dar kwenye usaili? Mtu kutoka Mbeya huko aje Dar kwenye usaili? Tumieni hekima na busara gaweni kikanda wekeni usawa na haki, mpate watu sahihi.
Hawa watu akili zao sijui wanazitumia kuwaza nini! Ukumbuke hawatapewa nauli,chakula Wala malazi.View attachment 3049882
Gaweni kikanda Tanzania bara ni pakubwa sana, mnategemea mtu kutoka Kagera aje Dar kwenye usaili? Mtu kutoka Mbeya huko aje Dar kwenye usaili? Tumieni hekima na busara gaweni kikanda wekeni usawa na haki, mpate watu sahihi.
Hoja zako Zina mashiko, the same succeeded.Ni jambo la kusikitisha kuona nafasi za polisi zinagawiwa kwa watoto wa watu wenye uwezo wa fedha na walio karibu na Dar, Pemba na Unguja! Kwa watoto walio mbali na miji hiyo na wazazi wasio na uwezo ni vigumu kupata nafasi hizo!
IGP Wambura mwenyewe asingekuwa katika nafasi hiyo kama usaili wake ungefanyika kwa namna hii kwani asingeweza kusafiri kutoka Kanda ya Ziwa hadi Kurasini Dar.
Hali hiyo pia ingewakumba wengi wa maofisa waandamizi waliopo hivi sasa kwa sababu wengi wanatoka familia za kawaida.
Kwa nini usaili wa awali usingefanyika katika mikoa yao? Watakaofaulu usaili wa awali wapelekwe chuoni Kurasini kwa usaili zaidi na gharama zibebwe na serikali. Hii ingewasaidia sana watoto wanaotoka katika familia za kawaida!
Waziri wa Mambo ya Ndani fikiria kwa makini jambo hili. Wapemba na Waunguja watafanya usaili kwao iweje na kwa sababu zipi Watanganyika wote waende Dar?
Ni njama za makusudi kuwaengua watoto wa familia za kawaida!Na pia usaili gani unafanyika wiki mbili? Ni usaili wa namna gani huo wanaenda kufanya kuzingatia changamoto zote hizo haswa gharama??
Ni njama za makusudi kuwaengua watoto wa familia za kawaida
Kwanza hawa polisi saili zao zikoje?? Hizo week mbili watu wanakaa camp maana kiukweli ni kuwa tesa watu, mtu anaweza kujikusanya kutoka Kagera huko akaenda kwenye usaili maskini ya mungu na asipite..Haya mambo asee sio poaNi njama za makusudi kuwaengua watoto wa familia za kawaida!
Kwa hiyo polisi sio wasomiAjira portal sio Polisi usilinganishe wasomi na Polisi
Linatakiwa kuvunjwa lote kabisa na kisha liundwe Tena lingine kwa sababu hili lililopo tayari limepoteza kabisa Uhalali wa kuwa Jeshi la Polisi ktk nchi yoyote ile hapa duniani.Jeshi la polisi ni takataka kabisa(toilet papers)yaani mtanganyika atoke kakonko Kuja kufanya usaili Dar? Wakati huo mpemba anafanyiwa upembani kwao na muunguja anafanyiwa usaili unguja.Hili jeshi la ccm linatakiwa kufumuliwa kabisa ili kuondoa ukiritimba wake