KERO Polisi fanyeni usaili wenu kikanda, kutoa watu mikoa tofauti kufanyia usaili Dar ni usumbufu mkubwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Jamani kwani usaili wa polisi mikoani mfano iringa ni ofisi gani za kuripoti
 
Tatizo NI WASOMI washauri kuwa Kada badala ya competences
 
Duuh nmesoma Hilo tangazo hapo juu, naona wameandika kuwa six na four usaili watafanya mikoa walioichagua, Sasa mikoa walioichagua wapi? Makao makuu ya mikoa au wapi?...Poleni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…