Polisi: Gari la kituo cha Gogoni halihusiki na utekaji wa Abdul Nondo

Polisi: Gari la kituo cha Gogoni halihusiki na utekaji wa Abdul Nondo

Jeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.

Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Lingekuwa jambo jema wangeweka picha ya gari wanalodai ndilo lililotumika.
 
Natamani siku moja itokee walau ajali,ihusishe magari kama kumi ya polisi..wafe wote ili walau wapate uchungu tunaopata sisi kwa madhila yao.
 
Polisi kwenye hii nchi wanatumiwa vibaya sana na wanasiasa!! Ona sababu wanazotoa zilivyo kosa mashiko!!
Halafu hii ni mara ya pili hicho kituo cha polisi cha Gogoni kinahusishwa na vitendo vya utekaji. Kipindi cha nyuma ilikuwa ni Stakishari.
 
Back
Top Bottom