Polisi ibadilike kabla muhula haujawadia

Polisi ibadilike kabla muhula haujawadia

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Sisi veterans tunalishauri jeshi la polisi yafuatayo.

  1. Liache na kujitenga kutumika kisiasa
  2. Lijitathmini utendaji na utumishi wake kama linaishi kwa mujibu wa Katiba na Sheria inayoliunda
  3. Lisitumike na wenyenazo kuwanyanyasa wasionazo (nazo = pesa)
  4. Kuacha kuua raia kwa kisingizio cha kudhibiti uhalifu
  5. (Msomaji endeleza orodha)

Kujisahihisha na kujirekebisha siyo dhambi
 
Back
Top Bottom