DOKEZO Polisi iweke mfumo wa kutambua Askari Kidijitali kwa Jina au Force Number ili kujiondoa kwenye kashfa za utekaji

DOKEZO Polisi iweke mfumo wa kutambua Askari Kidijitali kwa Jina au Force Number ili kujiondoa kwenye kashfa za utekaji

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Habari Wanajamvi,

Tunapoelekea kwenye suala la Uchaguzi nchi imeendelea kuchafuka kweli, matukio ya utekaji na kupotea watu yanazidi kuongezeka. Baadhi ya Wananchi hususan wafuasi wa Vyama vya Upinzani wamekuwa wakishutumu Vyombo vya Dola kwa kutumia Polisi kuhusika moja kwa moja na Utekaji huu mathalani utekaji wa hivi karibuni wa Mzee Ali Mohammed Kibao.

Soma: TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Matukio haya mengi sana hata ya wale Vijana wa Kariakoo waliokuwa wanapotea na kupatikana wamefariki huwa yaanza na stori kuwa mtu alikuja kuchukuliwa na Watu waliojitambulisha kama ni Polisi. Baada ya siku kadhaa atatafutwa na watu wake na kutoonekana na baadaye anaweza kupatikana katika vyumba vya kuhifadhia maiti kwenye moja ya hospitali.

Soma: Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Kutokana na hili, kuna uwezekano Jeshi la Polisi halihusiki na hivi vitu au kuna uwezekana kuna kitengo cha watu wachache katika Polisi wanafanya haya na hivyo kuchafua Jeshi letu lenye kulinda amani ya nchi na Wananchi.

Katika kujisafisha ningeshauri Jeshi la Polisi liweke mfumo wa kumsaidia Mwananchi wakati anapokamatwa aweze kutambua mtu anayemkamata. Mfumo huu unaweza kuwa kama ule wa utambuzi wa Mawakili ambapo mtu ukiingiza namba au jina la Wakili unapata taarifa zake.

Mfano namna ulivyo mfumo wa kuangalia Mawakili: https://ewakili.judiciary.go.tz/#/ewakili/home

Polisi katika tovuti yao wanaweza kuweka mfumo ambapo mtu akikamatwa na Polisi kujitambulisha, Mwananchi anaweza kuweka Force Number ya Polisi au Jina lake kamili na akapata taarifa zake kama cheo chake, kitengo alichopo na Kituo chake cha Kazi na kama ni Polisi ‘active’

Nasema hivi kwani kuna uwezekano mkubwa sana kuna watu wamechukuliwa na Polisi feki walioghushi Kitambulisho cha Polisi au taarifa nyingine za Polisi na ubaya ni kwamba Polisi wetu wamekuwa wakienda kukamata watu mara nyingi wakiwa na nguo za kiraia, jambo linalowapa urahisi hata wa halifu kujifanya Polisi.

Hii itaasaidia sana watu kujua mtu kama sio Polisi na kukataa kwenda naye lakini pia kama ni Polisi ni rahisi mtu akichukuliwa kutuma taarifa hizi kwa ndugu, jamaa au mtu wa karibu ili kuwajulisha amechukuliwa na Polisi gani na hata akipatwa na kitu basi inakuwa rahisi kujua pa kuanzia.

Polisi wanaweza kuwa na mfumo huu kama waliweza kuweka mfumo wa watu kuangalia madeni yao ya kwenye magari au lesini hawashindwi kuweka huu mfumo wa watu kuhakiki taarifa za Polisi. Jeshi letu sikivu ni vema kushughulikia hili na kujiepusha na kashfa hizi
 
Mkuu,
Ushauri ni mzuri na hoja inasimama ila nina maswali machache kuhusu hichi kipengele chini👇🏿
Polisi katika tovuti yao wanaweza kuweka mfumo ambapo mtu akikamatwa na Polisi kujitambulisha, Mwananchi anaweza kuweka Force Number ya Polisi au Jina lake kamili na akapata taarifa zake kama cheo chake, kitengo alichopo na Kituo chake cha Kazi na kama ni Polisi ‘active’
Naomba kujua ni nchi gani Duniani ambayo mtu ukikamatwa unaweka force number ama jina la polisi aliyekukamata halafu unapata taarifa zake?
Ni Nchi gani hizo unaweza kufanya hivyo?
 
Polisi wengi wana D 2 tu.
Hayo mambo ni sawa na mbingu na ardhi.
Wao wamefundishwa kutumia nguvu na sio akili.
Ndio maana wanaitwa police force.
 
Habari Wanajamvi,

Tunapoelekea kwenye suala la Uchaguzi nchi imeendelea kuchafuka kweli, matukio ya utekaji na kupotea watu yanazidi kuongezeka. Baadhi ya Wananchi hususan wafuasi wa Vyama vya Upinzani wamekuwa wakishutumu Vyombo vya Dola kwa kutumia Polisi kuhusika moja kwa moja na Utekaji huu mathalani utekaji wa hivi karibuni wa Mzee Ali Mohammed Kibao.

Soma: TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Matukio haya mengi sana hata ya wale Vijana wa Kariakoo waliokuwa wanapotea na kupatikana wamefariki huwa yaanza na stori kuwa mtu alikuja kuchukuliwa na Watu waliojitambulisha kama ni Polisi. Baada ya siku kadhaa atatafutwa na watu wake na kutoonekana na baadaye anaweza kupatikana katika vyumba vya kuhifadhia maiti kwenye moja ya hospitali.

Soma: Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Kutokana na hili, kuna uwezekano Jeshi la Polisi halihusiki na hivi vitu au kuna uwezekana kuna kitengo cha watu wachache katika Polisi wanafanya haya na hivyo kuchafua Jeshi letu lenye kulinda amani ya nchi na Wananchi.

Katika kujisafisha ningeshauri Jeshi la Polisi liweke mfumo wa kumsaidia Mwananchi wakati anapokamatwa aweze kutambua mtu anayemkamata. Mfumo huu unaweza kuwa kama ule wa utambuzi wa Mawakili ambapo mtu ukiingiza namba au jina la Wakili unapata taarifa zake.

Mfano namna ulivyo mfumo wa kuangalia Mawakili: https://ewakili.judiciary.go.tz/#/ewakili/home

Polisi katika tovuti yao wanaweza kuweka mfumo ambapo mtu akikamatwa na Polisi kujitambulisha, Mwananchi anaweza kuweka Force Number ya Polisi au Jina lake kamili na akapata taarifa zake kama cheo chake, kitengo alichopo na Kituo chake cha Kazi na kama ni Polisi ‘active’

Nasema hivi kwani kuna uwezekano mkubwa sana kuna watu wamechukuliwa na Polisi feki walioghushi Kitambulisho cha Polisi au taarifa nyingine za Polisi na ubaya ni kwamba Polisi wetu wamekuwa wakienda kukamata watu mara nyingi wakiwa na nguo za kiraia, jambo linalowapa urahisi hata wa halifu kujifanya Polisi.

Hii itaasaidia sana watu kujua mtu kama sio Polisi na kukataa kwenda naye lakini pia kama ni Polisi ni rahisi mtu akichukuliwa kutuma taarifa hizi kwa ndugu, jamaa au mtu wa karibu ili kuwajulisha amechukuliwa na Polisi gani na hata akipatwa na kitu basi inakuwa rahisi kujua pa kuanzia.

Polisi wanaweza kuwa na mfumo huu kama waliweza kuweka mfumo wa watu kuangalia madeni yao ya kwenye magari au lesini hawashindwi kuweka huu mfumo wa watu kuhakiki taarifa za Polisi. Jeshi letu sikivu ni vema kushughulikia hili na kujiepusha na kashfa hizi
Hawatakuwa tayati kwa hilo hata bodycam. Kama kwa wenzetu waliojidai kujijua,kama sii kujitambua.
 
Mkuu,
Ushauri ni mzuri na hoja inasimama ila nina maswali machache kuhusu hichi kipengele chini👇🏿

Naomba kujua ni nchi gani Duniani ambayo mtu ukikamatwa unaweka force number ama jina la polisi aliyekukamata halafu unapata taarifa zake?
Ni Nchi gani hizo unaweza kufanya hivyo?
Kwani Mkuu hadi kuwe na nchi inafanya hivyo ndio na sisi tuweze kuiga?

Mtoa mada ana hoja nzuri sana, sijui kama kuna nchi ya hivyo au la ila tunaweza kuwa wakwanza na kuigwa sisi.

Wasiwasi wangu sijui kama Polisi watataka hii maana wengi wao wamezoea magumashi
 
Habari Wanajamvi,

Tunapoelekea kwenye suala la Uchaguzi nchi imeendelea kuchafuka kweli, matukio ya utekaji na kupotea watu yanazidi kuongezeka. Baadhi ya Wananchi hususan wafuasi wa Vyama vya Upinzani wamekuwa wakishutumu Vyombo vya Dola kwa kutumia Polisi kuhusika moja kwa moja na Utekaji huu mathalani utekaji wa hivi karibuni wa Mzee Ali Mohammed Kibao.

Soma: TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Matukio haya mengi sana hata ya wale Vijana wa Kariakoo waliokuwa wanapotea na kupatikana wamefariki huwa yaanza na stori kuwa mtu alikuja kuchukuliwa na Watu waliojitambulisha kama ni Polisi. Baada ya siku kadhaa atatafutwa na watu wake na kutoonekana na baadaye anaweza kupatikana katika vyumba vya kuhifadhia maiti kwenye moja ya hospitali.

Soma: Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Kutokana na hili, kuna uwezekano Jeshi la Polisi halihusiki na hivi vitu au kuna uwezekana kuna kitengo cha watu wachache katika Polisi wanafanya haya na hivyo kuchafua Jeshi letu lenye kulinda amani ya nchi na Wananchi.

Katika kujisafisha ningeshauri Jeshi la Polisi liweke mfumo wa kumsaidia Mwananchi wakati anapokamatwa aweze kutambua mtu anayemkamata. Mfumo huu unaweza kuwa kama ule wa utambuzi wa Mawakili ambapo mtu ukiingiza namba au jina la Wakili unapata taarifa zake.

Mfano namna ulivyo mfumo wa kuangalia Mawakili: https://ewakili.judiciary.go.tz/#/ewakili/home

Polisi katika tovuti yao wanaweza kuweka mfumo ambapo mtu akikamatwa na Polisi kujitambulisha, Mwananchi anaweza kuweka Force Number ya Polisi au Jina lake kamili na akapata taarifa zake kama cheo chake, kitengo alichopo na Kituo chake cha Kazi na kama ni Polisi ‘active’

Nasema hivi kwani kuna uwezekano mkubwa sana kuna watu wamechukuliwa na Polisi feki walioghushi Kitambulisho cha Polisi au taarifa nyingine za Polisi na ubaya ni kwamba Polisi wetu wamekuwa wakienda kukamata watu mara nyingi wakiwa na nguo za kiraia, jambo linalowapa urahisi hata wa halifu kujifanya Polisi.

Hii itaasaidia sana watu kujua mtu kama sio Polisi na kukataa kwenda naye lakini pia kama ni Polisi ni rahisi mtu akichukuliwa kutuma taarifa hizi kwa ndugu, jamaa au mtu wa karibu ili kuwajulisha amechukuliwa na Polisi gani na hata akipatwa na kitu basi inakuwa rahisi kujua pa kuanzia.

Polisi wanaweza kuwa na mfumo huu kama waliweza kuweka mfumo wa watu kuangalia madeni yao ya kwenye magari au lesini hawashindwi kuweka huu mfumo wa watu kuhakiki taarifa za Polisi. Jeshi letu sikivu ni vema kushughulikia hili na kujiepusha na kashfa hizi
NIlikuwa nawaza kitu kama hiki, na itasaidia sana kwenye kuepuka wahuni watakaojifanya/watakaotumia upolisi kutenda uhalifu. Inahitaji mawazo ya kuboresha zaidi lakini inawezekana
 
Kama chura kakwambia kamteke Fulani, mtese na kumuua, je wewe Polisi mwenye mbavu tatu unapingaje?

Je ni nani atakayekufuatilia?
 
Mkuu,
Ushauri ni mzuri na hoja inasimama ila nina maswali machache kuhusu hichi kipengele chini👇🏿

Naomba kujua ni nchi gani Duniani ambayo mtu ukikamatwa unaweka force number ama jina la polisi aliyekukamata halafu unapata taarifa zake?
Ni Nchi gani hizo unaweza kufanya hivyo?
Inawezekana mfumo huo ukiwekwa kwenye ofisi za umma mfano Takukuru, mahakamani, ofisi ya mkuu wa mkoa na wilaya nk.
 
Habari Wanajamvi,

Tunapoelekea kwenye suala la Uchaguzi nchi imeendelea kuchafuka kweli, matukio ya utekaji na kupotea watu yanazidi kuongezeka. Baadhi ya Wananchi hususan wafuasi wa Vyama vya Upinzani wamekuwa wakishutumu Vyombo vya Dola kwa kutumia Polisi kuhusika moja kwa moja na Utekaji huu mathalani utekaji wa hivi karibuni wa Mzee Ali Mohammed Kibao.

Soma: TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Matukio haya mengi sana hata ya wale Vijana wa Kariakoo waliokuwa wanapotea na kupatikana wamefariki huwa yaanza na stori kuwa mtu alikuja kuchukuliwa na Watu waliojitambulisha kama ni Polisi. Baada ya siku kadhaa atatafutwa na watu wake na kutoonekana na baadaye anaweza kupatikana katika vyumba vya kuhifadhia maiti kwenye moja ya hospitali.

Soma: Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Kutokana na hili, kuna uwezekano Jeshi la Polisi halihusiki na hivi vitu au kuna uwezekana kuna kitengo cha watu wachache katika Polisi wanafanya haya na hivyo kuchafua Jeshi letu lenye kulinda amani ya nchi na Wananchi.

Katika kujisafisha ningeshauri Jeshi la Polisi liweke mfumo wa kumsaidia Mwananchi wakati anapokamatwa aweze kutambua mtu anayemkamata. Mfumo huu unaweza kuwa kama ule wa utambuzi wa Mawakili ambapo mtu ukiingiza namba au jina la Wakili unapata taarifa zake.

Mfano namna ulivyo mfumo wa kuangalia Mawakili: https://ewakili.judiciary.go.tz/#/ewakili/home

Polisi katika tovuti yao wanaweza kuweka mfumo ambapo mtu akikamatwa na Polisi kujitambulisha, Mwananchi anaweza kuweka Force Number ya Polisi au Jina lake kamili na akapata taarifa zake kama cheo chake, kitengo alichopo na Kituo chake cha Kazi na kama ni Polisi ‘active’

Nasema hivi kwani kuna uwezekano mkubwa sana kuna watu wamechukuliwa na Polisi feki walioghushi Kitambulisho cha Polisi au taarifa nyingine za Polisi na ubaya ni kwamba Polisi wetu wamekuwa wakienda kukamata watu mara nyingi wakiwa na nguo za kiraia, jambo linalowapa urahisi hata wa halifu kujifanya Polisi.

Hii itaasaidia sana watu kujua mtu kama sio Polisi na kukataa kwenda naye lakini pia kama ni Polisi ni rahisi mtu akichukuliwa kutuma taarifa hizi kwa ndugu, jamaa au mtu wa karibu ili kuwajulisha amechukuliwa na Polisi gani na hata akipatwa na kitu basi inakuwa rahisi kujua pa kuanzia.

Polisi wanaweza kuwa na mfumo huu kama waliweza kuweka mfumo wa watu kuangalia madeni yao ya kwenye magari au lesini hawashindwi kuweka huu mfumo wa watu kuhakiki taarifa za Polisi. Jeshi letu sikivu ni vema kushughulikia hili na kujiepusha na kashfa hizi
Hiyo haitakuwa suluhisho la vitendo viovu vya utekaji.

Nafikiri tunapaswa kuchimbua kwa undani zaidi wa kwa nini Askari Polisi na Tiss wameamua kutumia njia hii ya utekaji katika utendaji kazi zao??? Nini hasa mzizi au chimbuko la kuibuka kwa suala hili la utekaji?

Yatupasa tuchunguze kwanza sababu au chanzo Cha kuibuka kwa vitendo hivi vya utekaji ndipo Sasa tuje tutafute suluhisho lake.

NB: Huwezi kutibu au kujikinga na tatizo fulani bila ya kujua chanzo chake kwanza.
 
Back
Top Bottom