Polisi kanda maalum: Tupo tayari kuilinda bakwata na viongozi wake....

Polisi kanda maalum: Tupo tayari kuilinda bakwata na viongozi wake....

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
..Kamanda Kova kasema kuwa wako tayari kuilinda Bakwata na viongozi wake au taasisi yoyote ya dini au kisiasa. Hii ni kufuataia vuguvugu la kundi la Sheikh Ponda aliyetangaza kwenda kuvamia ofisi ya Bakwata na kuwang'oa Mufti Simba pamoja na menejimenti nzima ya Bakwata.

Source: ITV
 
Juz nilileta uzi juu ya kuing'a bakwata watu wakanambia mzush,,kanda maalum ya kinondon imewatawanya maaskari kanzu kuhakikisha hilo halitokei,wapo mtambana na kinondon muslim makao makuu ya BAKWATA,wapo wanaume nawanawake,hili zoez limeanza tangu juma 3 ya wiki hii
 
Huyo Kamanda Kova hatawaweza hawa jamaa hata kwa dawa. Mbona juzi walimfuata ofisini kwake na kwa mkubwa wake akanyweaaa? Ndiyo itakuwa kwenye ofisi za watu wanaozijua wenyewe. Hawa jamaa si wakuwatishia kwa hivyo vitaarifa vya kiitelijensia visivyokuwa na kichwa wala miguu.

View attachment 64872
 
Hili Baraza la Mafisadi Bakwata lazima litokomezwe, magamba wanalitumia sana kwa hawa Masheikhe njaa, naungana na Sheikhe Ponda kuandamana na kuhakikisha hiki kitendo kidogo cha CCM kinavunjwa. Tunataka Baraza litakalo simamamia haki za waislamu.
 
Huyo Kamanda Kova hatawaweza hawa jamaa hata kwa dawa. Mbona juzi walimfuata ofisini kwake na kwa mkubwa wake akanyweaaa? Ndiyo itakuwa kwenye ofisi za watu wanaozijua wenyewe. Hawa jamaa si wakuwatishia kwa hivyo vitaarifa vya kiitelijensia visivyokuwa na kichwa wala miguu.

View attachment 64872

Mimi ninawasiwasi na huyo Kova, mbona anaonekana kama ni mfuasi wa kameruni kwa jinsi alivyo?
 
Hili Baraza la Mafisadi Bakwata lazima litokomezwe, magamba wanalitumia sana kwa hawa Masheikhe njaa, naungana na Sheikhe Ponda kuandamana na kuhakikisha hiki kitendo kidogo cha CCM kinavunjwa. Tunataka Baraza litakalo simamamia haki za waislamu.

BAKWATA ni nani hadi serikali iwang'ang'anie, wana bilioni ngapi? radio imani inatosha kwa kueneza chuki, eti waislam wanalazimisha NECTA wawape wanafunzi wa kiislam maksi hata kama wameandika madudu?
 
kama wakifanikiwa kuing'oa bakwata, ni taasisi ipi ya waislam itawakilisha maslahi ya waislam wote?
 
..Kamanda Kova kasema kuwa wako tayari kuilinda Bakwata na viongozi wake au taasisi yoyote ya dini au kisiasa. Hii ni kufuataia vuguvugu la kundi la Sheikh Ponda aliyetangaza kwenda kuvamia ofisi ya Bakwata na kuwang'oa Mufti Simba pamoja na menejimenti nzima ya Bakwata.

Source: ITV

Mie siingilii. CCM walifanya udini kama mtaji. Sasa hivi joka walofuga linataka kuwameza wenyewe
 
wito waislam wote kesho tukasali sala ya ljumaa kinondoni-bakwata.Tukimaliza tunaenda ofisini.Jee kova atatuweza?
 
oooohh kumbe kesho ni ijumaaa

mkuu kesho ni ijumaa, naambiwa hapa hawa jamaa kesho wanawapiga changa la macho polisi kwamba wanaenda bakwata ili polisi wengi walinde bakwata, ila lengo lao ni kwenda ubalozi wa marekani ,then baraza la mitihani NECTA.
 
ila hawa watu mi huwa siwaelewi kabisaaaaaa nikumbushe kesho nitakuambia sababu
mkuu kesho ni ijumaa, naambiwa hapa hawa jamaa kesho wanawapiga changa la macho polisi kwamba wanaenda bakwata ili polisi wengi walinde bakwata, ila lengo lao ni kwenda ubalozi wa marekani ,then baraza la mitihani NECTA.
 
BAKWATA ni nani hadi serikali iwang'ang'anie, wana bilioni ngapi? radio imani inatosha kwa kueneza chuki, eti waislam wanalazimisha NECTA wawape wanafunzi wa kiislam maksi hata kama wameandika madudu?

Nani kakwambia wanataka wapewe marks bila sababu? Usikurupuke jaribu kutafuta source ndo utajua ni ki2 gani kimefanywa na Necta kwenye pepa la islamic knowledge. Kama hujui basi serikali ilishaomba msamaha kwa uzembe uliofanyika sio unapanda jukwaani bila kujua kinachojadiliwa jipange next tym ubadilike.
 
hao bakwata ni mamluki hawatufai tuwaondoe mfano-kuuza kiwanja cha waislam chang,ombe,nyumba za wakfu na kuua mirad mingi ya waislam...wao bakwata wanacmamia waislam kama ni hvyo waisclam wenyewe wanataka ofisi zao kosa lipo wapi? watuachie ofisi zetu na hao wanaowapenda na wanaowatetea bakwata wawatafutie kazi huko kwao kwenye intelijensia..
 
..Kamanda Kova kasema kuwa wako tayari kuilinda Bakwata na viongozi wake au taasisi yoyote ya dini au kisiasa. Hii ni kufuataia vuguvugu la kundi la Sheikh Ponda aliyetangaza kwenda kuvamia ofisi ya Bakwata na kuwang'oa Mufti Simba pamoja na menejimenti nzima ya Bakwata.

Source: ITV
Hatushangai maana Bakwata ni chombo cha serikali ambacho kimeanzishwa kama mwakilishi wa seirkali kwa Waislaam. Mamlaka ya Mufti ni sawa na ya RC wa mikoani ila yeye yupo kitaifa hasa ukizingatia Mufti huchaguliwa na rais. Je rais akiwa baniani itakuwaje?..Hii haikubaliki na kinyume cha dini na hata kikatiba - Serikali haina dini.
 
Hatushangai maana Bakwata ni chombo cha serikali ambacho kimeanzishwa kama mwakilishi wa seirkali kwa Waislaam. Mamlaka ya Mufti ni sawa na ya RC wa mikoani ila yeye yupo kitaifa hasa ukizingatia Mufti huchaguliwa na rais. Je rais akiwa baniani itakuwaje?..Hii haikubaliki na kinyume cha dini na hata kikatiba - Serikali haina dini.

Mkandara, aslyam alleykum my friend. What are you going to do now?
 
Nani kakwambia wanataka wapewe marks bila sababu? Usikurupuke jaribu kutafuta source ndo utajua ni ki2 gani kimefanywa na Necta kwenye pepa la islamic knowledge. Kama hujui basi serikali ilishaomba msamaha kwa uzembe uliofanyika sio unapanda jukwaani bila kujua kinachojadiliwa jipange next tym ubadilike.
hawawezi kubadilika kwa sababu si fikra zao bali ni fikra pandikizi... wanachoambiwa hata kama kiko tofauti na wanachoona wao husema walichoambiwa!! Yaani!! Mbona wale wanaopata 0 au kwenda secondary bila kujua kuandika huwa hawaandikwi majina yao na dini zao??? hilo hajawahi kuuliza nadhani
 
..Kamanda Kova kasema kuwa wako tayari kuilinda Bakwata na viongozi wake au taasisi yoyote ya dini au kisiasa. Hii ni kufuataia vuguvugu la kundi la Sheikh Ponda aliyetangaza kwenda kuvamia ofisi ya Bakwata na kuwang'oa Mufti Simba pamoja na menejimenti nzima ya Bakwata.

Source: ITV

Je inawezekana BAKWATA na SIRIKALI, ni genge flani la wahuni dhidi ya Waisalamu ama vipi? Kwa sababu waislamu wali ishtaki BAKWATA kama taasisi Mahakamani dhidi ya taasisi hiyo kuuza mali za waislamu bila kuwa shirikisha waislamu wenyewe, mfano kiwanja cha pale changombe ambacho mwanzo ali uziwa Manji. MAHAKAMA KUU IKAWAJIBU WAISLAMU,KUA MAHAKAMA HAINA UWEZO WA KUINGILIA MAMBO YA KIIMANI. WAENDE WAKAMALIZANE WAO WENYEWE. HAYO NI KWA MUJIBU WA SHEIKH KUNDECHA IJUMAA ILE KABLA YA MAANDAMANO MSIKITI WA KICHANGANI. SASA NDIO IKAKUBALIWA NA WAISLAMU KAMA MAHAKAMA HAIWEZI KUINGILIA MIGOGORO YETU, BASI TUTA MALIZA WENYEWE. SASA JESHI LA POLISI LINA WASHWA NINI?.

KOVA , ENOUGH IS ENOUGH, BAKWATA WILL GO. ANDAENI VIJANA WENU KAMA WALE WALIOFANYA KAZI IRINGA WA KUTOSHA. ISPOKUA BE WARNED. MWEMBECHAI STYLE WILL CHANGE THE HISTORY OF TANZANIA FOREVER. MAANA HATA KIPINDI KILE IGP ALIKUA PIA ANA JINA LA KIISALAMU. ALIKUA ANAITWA OMARI MAHITA NGUNGURI KAMA SIKO SEI.
 
Back
Top Bottom