Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Wahuni hawachelewi kukutegeshea silaha wakufanye chambo ili wapige mpunga, maana wabongo kila penye pesa ni fursaDah bora fursa ziongezeke maana kuna janga la ukosefu wa ajira. Ila nashauri iwe nchi nzima ili na sisi wa mikoani tufaidi hii fursa.
Nenda kwa Polisi mwenye cheo cha juu kuwazidi utoe taarifaNa vip kama uhalifu unawahusu hao polisi wenyewe natoa wapi taarifa yangu? maana kuna polisi pia ni wahalifu ila wamejificha kwenye vazi la upolisi ili kutekeleza uharifu wao kiurahisi zaidi
Habari za muda huu waungwana wa jamiiforums.
View attachment 1827776
JUNE 23, 2021: Kamanda wa Polisi kanda Maalum ya DSM, ACP Muliro Jumanne Muliro ametangaza rasmi kuwa Mtu yeyote atakaetoa taarifa sahihi zitakazowezesha Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya DSM kumkamata Mhalifu akiwa na silaha mfano; bunduki atatoa zawadi papohapo ya Tsh. Milioni mbili na kuhakikisha siri za mtoa taaarifa zinatunzwa kwa kiwango cha juu na bila kuathiri mazingira ya usalama wake, zawadi hizo zitaanza kutolewa bila kuzungushwa ilimradi vigezo vilivyotajwa vizingatiwe.
View attachment 1827787
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Alieliweza hili ni Mrema pekeyake.. Ilikuwa haina longolongo na anakupatia mwenyewe direct, wengine wote waliofuatia michakato yao ilijaa walakini iliyopelekea watoa taarifa kuumizwaHabari za muda huu waungwana wa jamiiforums.
View attachment 1827776
JUNE 23, 2021: Kamanda wa Polisi kanda Maalum ya DSM, ACP Muliro Jumanne Muliro ametangaza rasmi kuwa Mtu yeyote atakaetoa taarifa sahihi zitakazowezesha Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya DSM kumkamata Mhalifu akiwa na silaha mfano; bunduki atatoa zawadi papohapo ya Tsh. Milioni mbili na kuhakikisha siri za mtoa taaarifa zinatunzwa kwa kiwango cha juu na bila kuathiri mazingira ya usalama wake, zawadi hizo zitaanza kutolewa bila kuzungushwa ilimradi vigezo vilivyotajwa vizingatiwe.
View attachment 1827787
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.