joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Note: Kenya ni nchi ya hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzania wakiandamana tu lazima watakula risasi...
Note: Kenya ni nchi ya hovyo sana
Risasi mtu yani..emu subutu jamaa waandamane wakioneNa TZ naskia Jeshi yenu inapigia Opposition mazoezi,Itakuwa mauwano,marisasi twatwatwa,Kama kawaida ya Udictator Uchwara,Jeshi lenu Ni la kupiga Raia tu[emoji706]
Lete lete ishahidiWapinzania wakiandamana tu lazima watakula risasi...
lisu alifanywa kichungi kwa marisasi 20 and yet he still survived 🙈🔥🔥Lete lete ishahidi
ata kushukiwa tu munaongelea Maandamano,unakujiwa mpaka Kanisani Kama Mbowe na Father wa Kanisa kapigwa teke kajipata Ndani ya Grand Tiger,mpaka Jela🔥🔥Risasi mtu yani..emu subutu jamaa waandamane wakione
Lete ushahidi wa mtanzania kuuliwa na polisi ndani ya kipindi cha miaka mitano iliyopiaata kushukiwa tu munaongelea Maandamano,unakujiwa mpaka Kanisani Kama Mbowe na Father wa Kanisa kapigwa teke kajipata Ndani ya Grand Tiger,mpaka Jela[emoji91][emoji91]
Jamaa kushika mabango nje ya mahakama tu walisekwa ndani[emoji1787][emoji1787]ata kushukiwa tu munaongelea Maandamano,unakujiwa mpaka Kanisani Kama Mbowe na Father wa Kanisa kapigwa teke kajipata Ndani ya Grand Tiger,mpaka Jela[emoji91][emoji91]
Pole sana mzee..Lete ushahidi wa mtanzania kuuliwa na polisi ndani ya kipindi cha miaka mitano iliyopia
Weka ushahidiPole sana mzee..
Uchaguzi uliopita tu tayari mlipiga watu risasi ma CCM kisha mkulu(marehemu) akakataa
Endelea kubaki hko hko kw denial km alivyo deny mkuu wenu wa polisi, maskini wazenjiWeka ushahidi