Polisi Kenya waendelea kuua wananchi kiholela

Polisi Kenya waendelea kuua wananchi kiholela

Na TZ naskia Jeshi yenu inapigia Opposition mazoezi,Itakuwa mauwano,marisasi twatwatwa,Kama kawaida ya Udictator Uchwara,Jeshi lenu Ni la kupiga Raia tu🚮
 
Risasi mtu yani..emu subutu jamaa waandamane wakione
ata kushukiwa tu munaongelea Maandamano,unakujiwa mpaka Kanisani Kama Mbowe na Father wa Kanisa kapigwa teke kajipata Ndani ya Grand Tiger,mpaka Jela🔥🔥
 
ata kushukiwa tu munaongelea Maandamano,unakujiwa mpaka Kanisani Kama Mbowe na Father wa Kanisa kapigwa teke kajipata Ndani ya Grand Tiger,mpaka Jela[emoji91][emoji91]
Lete ushahidi wa mtanzania kuuliwa na polisi ndani ya kipindi cha miaka mitano iliyopia
 
ata kushukiwa tu munaongelea Maandamano,unakujiwa mpaka Kanisani Kama Mbowe na Father wa Kanisa kapigwa teke kajipata Ndani ya Grand Tiger,mpaka Jela[emoji91][emoji91]
Jamaa kushika mabango nje ya mahakama tu walisekwa ndani[emoji1787][emoji1787]
Wafanya mchezo na nchi ya ahadi wewe
 
Lete ushahidi wa mtanzania kuuliwa na polisi ndani ya kipindi cha miaka mitano iliyopia
Pole sana mzee..
Uchaguzi uliopita tu tayari mlipiga watu risasi ma CCM kisha mkulu(marehemu) akakataa
 
Back
Top Bottom