Polisi kibaha wamegonga gari langu,niwachukulie hatua gani

Polisi kibaha wamegonga gari langu,niwachukulie hatua gani

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,189
Reaction score
9,299
Habari wakuu

Jioni hii ya saa moja dereva wangu amenipigia simu kuwa gari la polisi wamegonga gari langu kwa kupiga pasi

Gari langu linalofanya kazi ya daladala kati ya mbezi na mlandiz jioni hii limepigwa pasi baada yagari la polis kulazimisha kupita upande wa kushoto(service road)

Hapa nilipo nina hasira sana

Je ni hatua gani naweza kuchukua kama mmiliki,garila polisi halikusimama
 
Pole sana Mkuu, Vipi dereva alifanikiwa kupata no za usajili wa hilo gari la polisi ili upate pa kuanzia?

Ila pia hakikisha gari lako halina shida yoyote la deni la faini wala mapungufu mengineyo usije ukashangaa unalipa wewe huko polisi ukienda kufuatilia
 
Pole sana Mkuu, Vipi dereva alifanikiwa kupata no za usajili wa hilo gari la polisi ili upate pa kuanzia?

Ila pia hakikisha gari lako halina shida yoyote la deni la faini wala mapungufu mengineyo usije ukashangaa unalipa wewe huko polisi ukienda kufuatilia
Vibali vimekamilika tairi mp hazina hata mwezi
 
Habari wakuu

Jioni hii ya saa moja dereva wangu amenipigia simu kuwa gari la polisi wamegonga gari langu kwa kupiga pasi

Gari langu linalofanya kazi ya daladala kati ya mbezi na mlandiz jioni hii limepigwa pasi baada yagari la polis kulazimisha kupita upande wa kushoto(service road)

Hapa nilipo nina hasira sana

Je ni hatua gani naweza kuchukua kama mmiliki,garila polisi halikusimama
Jiue mkuu ili ukapate mbinguni bikra 72.
 
kawarepprt happ hapo kibaha.siku hizi vyombo viko huru kidogo.
 
Habari wakuu

Jioni hii ya saa moja dereva wangu amenipigia simu kuwa gari la polisi wamegonga gari langu kwa kupiga pasi

Gari langu linalofanya kazi ya daladala kati ya mbezi na mlandiz jioni hii limepigwa pasi baada yagari la polis kulazimisha kupita upande wa kushoto(service road)

Hapa nilipo nina hasira sana

Je ni hatua gani naweza kuchukua kama mmiliki,garila polisi halikusimama
Kama ana uthibitisho nenda kwenye law firm nzuri fungua kesi.

Ukishinda kesi Fidia dai si chini ya 100mil.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi Afrika huwa hawachukuliwi hatua mkuu!Hata wakimbaka mke wako wewe ni kutulia tu!Hayo ndiyo maisha tuliyoyachagua sisi wananchi wa Afrika
 
Back
Top Bottom