KERO Polisi kukamata bodaboda usiku

KERO Polisi kukamata bodaboda usiku

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

frankkaliza

New Member
Joined
Jan 9, 2025
Posts
3
Reaction score
0
Habari wadau kuna tabia imezuka hapa jijini Dodoma inapofika usiku polisi wanapaki gari kwenye barabara za mtaani wanaanza kukamata bodaboda na kuwachukulia ……. Inafikia hatua tunakosa huduma za usafiri wa bodaboda kufika nyumbani kwa watu kuwakamata na kuwachulia ….INAKERA SANA TANZANIA BILA YA RUSHWA INAWEZEKA.
 
Back
Top Bottom