Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kama CHADEMA wanafahamu hili kwa nini wanalazimisha litokee?...Unapo watawanya wanatawanyika, kisha wezi, majambazi na vibaka ambao hawana itikadi au waweza kuwa na yeyote hata ccm wanachukua nafasi ili watimize makusudio yao...
kazi na dawa, kama vipi acha pesa na simu home, ila ukiwa mikono mitupu utatukoma.Jee ni kweli wadau kuwa maandamano yatokeapo hata yanapokuwa yamefuata sheria polisi huwa wanalianzisha ili kutokee mchanganyiko na wao waingilie kati na kutengeneza fursa ya kipato ndani ya fujo hizo?
Habari hizo baada ya kuzipata na kushangaa nami nikashangawa kuwa ULIKUWA HUJUI CHAKAZA?
Jee nyie wana JF mnalijua hilo? Kwamba mbinu inayotumika ni kujipanga kwanza, kisha amri ya kutawanyika na ghafla mabomu kwenye zile exits zote ambazo ndio zingetumika kutawanyika.
Baada ya hapo ni kipigo, uporaji wa simu na fedha.
Tetesi hizo zinasema baada ya shughuli hiyo sio ajabu kumkuta mtu na simu kumi na fedha ya kutosha.
Jee mnalijua hilo?
Katiba ipi inayoruhusu kufanya fujo na kuachwa? Katiba ipi inaruhusu mtu kuhamasisha uvunjifu wa amani na police wasitoe warning?Ujeuri haujengi. Kwanza umetoka nje ya mada, jee Polisi kupambana na maandanano ni FURSA ya kupatia mapato?
Nayo mengine ni kuwa kuvunja watu miguu sio ufahari kama madhara mengine yanatokea ambayo yangeepushwa. Hivi unajua madhara yanayoweza kuukumba mji mfano vituo viwili vya mafuta vikiunguzwa? Shughuli za wangapi zitaathirika? Katiba na sheria viheshimiwe na kila mtu ili kukwepa hayo.
Hiyo ni kweli Mkuu.Jee ni kweli wadau kuwa maandamano yatokeapo hata yanapokuwa yamefuata sheria polisi huwa wanalianzisha ili kutokee mchanganyiko na wao waingilie kati na kutengeneza fursa ya kipato ndani ya fujo hizo?
Habari hizo baada ya kuzipata na kushangaa nami nikashangawa kuwa ULIKUWA HUJUI CHAKAZA?
Jee nyie wana JF mnalijua hilo? Kwamba mbinu inayotumika ni kujipanga kwanza, kisha amri ya kutawanyika na ghafla mabomu kwenye zile exits zote ambazo ndio zingetumika kutawanyika.
Baada ya hapo ni kipigo, uporaji wa simu na fedha.
Tetesi hizo zinasema baada ya shughuli hiyo sio ajabu kumkuta mtu na simu kumi na fedha ya kutosha.
Jee mnalijua hilo?
Mkuu wewe najua uko Mwanza, hebu sema ukweli zile fujo za 2010 kuhusu kutangaza matokeo ya ubunge kisha zikapelekea jiji kuchafuka, mawe makubwa kuwekwa barabarani na majengo kuchomwa moto ikiwemo Ofisi ya Ccm Nera jee Polisi waliweza kudhibiti? Mpaka waliomba kauli za wanasiasa kutuliza. Kule Mbeya nako wamachinga waliligeuza jiji lao kuwa uwanja wa mapambano hadi akaitwa Sugu toka Dodoma kuja kutuliza na wakatulia na kushika Fabio kufagia jiji.kazi na dawa, kama vipi acha pesa na simu home, ila ukiwa mikono mitupu utatukoma.
Unafurahia binadamu kuuliwa? no wonder wenzetu albinoMtapigwa ile noma na nitaandaa sherehe siku hiyo maana najua ni siku pekee nyumbhu watauawa
Mkuu sasa nimekuelewa na wewe ndio umeenda kwenye mada hasa.Hiyo ni kweli Mkuu.
Siyo jambo la siri. Ndio maana maandamano yanapotokea polisi hufurahi sana kwani wanajua ni fursa kwao. Baadhi ya pesa zilizoporwa hupelekwa kwa wakubwa walio watuma. Hiyo inajulikana kuanzia Polisi Makao Makuu mpaka vituo vyote vya polisi nchini. Yakiwa maandamano ya wanafunzi, polisi hufikia hatua ya kuingia ndani kusaka laptop kwa kisingizio cha kutafuta waarifu. Kama unavyoona wale polisi waendesha pikipiki halimaarufu kama Tigo, kazi yao kubwa ni kuchukuwa rushwa kwa waarifu na kila group limepewa kiasi cha kurejesha jioni kwa wakubwa. Hiyo ndo Tanzania ya SIJARIBIWI.
Likewise usikaririshwe kwamba polisi wanaanzisha vurugu kwa lengo la kuwaibia raia mali zao, huko ni kufilisika kiakiliUsikaririshwe nyimbo za majambazi wa kisiasa. Hakuna hata siku moja maandamano au mkutano wa wapinzani ambao haukuingiliwa na polisi kukatokea fujo. Hata siku moja, wao wanautulivu wa ajabu hata huwezi kudhani. Mpaka vibaka wanawadhibiti wenyewe. Hizo hadithi za viroba ni hekaya za matapeli wa siasa
Tusaidie wewe, kwa akili yako na ushahidi ambao tunaweza kuutumia kisheria, ni wapi polisi walianzisha fujo, then kuanzia hapo tunaweza kuchunguza kujua chanzo cha fujo hizo. otherwise, haya yote ni majungu na ushibiki ambao legally speaking dont hold water and you better tell to the marine!!!!!Tusaidie wewe, kwa akili yako Polisi wanaanzisha hizo fujo kwa sababu ya nini?
Kwahiyo ni kweli kwamba mnakwapua simu za wananchi ?Ulishawahi kuona wapi jeshini kunamaridhiano? Watu wengine wajinga sana hili ni jeshi la polisi siyo polisi jamii maridhiano yanatoka wapi
Kama madai yako yana ukweli basi Kwa nafasi yako na ushawishi ulionao washauri hao waanzisha fujo waache kuchochea fujo ili polisi wasipate fursa unayoizungumzia. Lakini pia inawezekana kwamba waanzisha fujo wanafanya hivyo makusudi Kwa sababu hizo hizo unazowatuhumu polisi Kwa sababu inajulikana wengi wao huanzisha fujo baada ya kupewa viroba!
Kingine ni kukamata watu ili wakusanye hela za dhamana