GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Wakenya ni wajasiri, lakini wakati mwingine huvuka mpaka!
Inawezekana Polisi walikosea kuingia kwenye gari lao bila kueleza sababu, lakini wasingepaswa kutumia maneno makali sana dhidi yao, mpaka kuwaita wapumbavu.
Wangeenda kuwashtaki kwenye mamlaka zinazohusika, na si kuwadhalilisha kwa maneno makali hadharani.
Au ni kwa vile hawakuwa na bunduki?
Inawezekana Polisi walikosea kuingia kwenye gari lao bila kueleza sababu, lakini wasingepaswa kutumia maneno makali sana dhidi yao, mpaka kuwaita wapumbavu.
Wangeenda kuwashtaki kwenye mamlaka zinazohusika, na si kuwadhalilisha kwa maneno makali hadharani.
Au ni kwa vile hawakuwa na bunduki?