Polisi Mbeya na Kashifa ya Mwanafunzi Kubakwa na Mwalimu Wake

issue siyo tu privacy ya mbakwaji lakini pia unaweza kuwatia matatani hata hao polisi wapelelezi kuonekana kama wao ndio wamekupa wewe taarifa juu ya sakata hilo.
k
Mimi mwenyewe ni polis jamii lakini sio kama wale wa kamanda Mwanza!!! Usiogope kusema Ukweli!!!
Ni bora ukafa au ukaingia matatani kwa kusema ukweli kuliko kuingia matatani kwa kubaka na kufanya zinaa!!!
Mungu atakuumbua tuu!!! Kumbuka Mfalme Daudi
 
Mwalimu na Mwanafunzi ndio wa kwanza kuvunja privancy na maadili kwa kujihusisha na zinaa!!!
Angetaka privancy asingevua nguo mbele za Mwalimu na Mbele za Mungu!!!

Wanyakyusa bwana,sasa privancy ndo nini?
 
Pole kwa mwanafunzi kwa kuambukizwa hiv. Ila mpaka hapa umemvunjia privacy yake kama mgonjwa na kama mbakwaji. Ndo maana hata kesi za ubakaji huwa hawamtaji mwathirika hadharani kwani jamii itamnyanyapaa.

Huyo mtoto ana kiherehere !
[ Jakaya Kikwete ]
 
Pole kwa mwanafunzi kwa kuambukizwa hiv. Ila mpaka hapa umemvunjia privacy yake kama mgonjwa na kama mbakwaji. Ndo maana hata kesi za ubakaji huwa hawamtaji mwathirika hadharani kwani jamii itamnyanyapaa.

Of course denti anahitaji pole kubwa, kwa sabau denti wa form two ni kama anamika 16 ama 16, kwa hiyo ndoto zake ndio zinaanza kuyeyukia hapo. Poor her
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…