Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Viongozi wa ACT Wazalendo walianza ziara ya kuzunguka mikoa tofauti nchini kuanzia Septemba 11, 2024, ziara ilitarajiwa kumalizika Oktoba 4, 2024.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walengwa ni Chadema, hapo Zitto anatumika tu kuhalalisha haram.Mkutano huu ulikuwa uhutubiwe na Zitto Kabwe, kesho Septemba 21, 2024 pia wamezuia mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Tanzania Bara, Isihaka Mchinjita aliyekuwa afanye ziara na mkutano wa hadhara katika Jimbo la Kinondoni.
Viongozi wa ACT Wazalendo walianza ziara ya kuzunguka mikoa tofauti nchini kuanzia Septemba 11, 2024, ziara ilitarajiwa kumalizika Oktoba 4, 2024.
Tumsubiri mamako aje kuzuiwa ndiyo itakuwa halisiHii ni drama ya zito na polisi hili kuonyesha kwamba vyama vingine navyo vinazuiwa
Uliambiwa mama yake anamiliki chama cha siasa?Tumsubiri mamako aje kuzuiwa ndiyo itakuwa halisi
Una mapepo tuTumsubiri mamako aje kuzuiwa ndiyo itakuwa halisi
Nami nimewaza hivyo, ili baadae waseme si unaona hata sisi tulizuiwa.Hii ni drama ya zito na polisi hili kuonyesha kwamba vyama vingine navyo vinazuiwa
Sababu za kiusalama zinazotokana na taarifa za kiintelijensia kuonyesha siyo salama sana kwa shughuli za kiusalama Kyela Mjini.Sababu ya kuzuia hasa ni nini?
Hiyo intelligence ipo tuu kwenye mikutano ya vyama? Ila kwny utekaji na mauaji haifanyi kaziSababu za kiusalama zinazotokana na taarifa za kiintelijensia kuonyesha siyo salama sana kwa shughuli za kiusalama Kyela Mjini.
Wakiitwa tawi B,wanaachaje kupokea kwa mikono miwili?Hii ni drama ya zito na polisi hili kuonyesha kwamba vyama vingine navyo vinazuiwa
Nilidhania hvyo pia. Zitto kuzuiiwa kufanya mikutano? Inafikilisha sana, kwa nature yake ya undumilla kuwili na unafiki wa kisiasa. Ni dramma kweliHii ni drama ya zito na polisi hili kuonyesha kwamba vyama vingine navyo vinazuiwa